Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
Wapo wanaomwaga maji kwenye kio cha mbele na kuinua waipa.Wakikuamkia ujue lazma watakuchomekea inshu! Utadhani wametumwa! Mi wale wa junction ya morroko ndo wananiudhi mpaka basi, unastukia tu washavamia kioo cha mbele cha gari wanakiosha, ukiwafukuza wanavizia wakati taa zimeruhusu wanamwagia kioo maji ya povu, inakubidi uwashe wipers ndo uone fresh! Noma sana hawa!