Watoto wa Shule Wanataka Mabadiliko!

Chajo

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
317
336
attachment.php
 

Attachments

  • SHREE HINDUMANDAL.jpg
    SHREE HINDUMANDAL.jpg
    78.9 KB · Views: 1,363
Akitokea mtu akaanzisha shule ya Wajaluo tutasema ni ukabila!
 
peace sign so madilikoba

Yaani ni kama ulikuwa kwenye ubongo wangu maana nilikuwa najiuliza hivi kwa nini ndugu zetu wa kiasia wanaojiita watanzania wao wamejenga shule shule zao na katika shule hizo wanasoma watoto kiasia tu pasipo kuwa na mchanganyiko wa kabila zingine za kiafrika. Kwa nini hali hii imelelewa wakati tunasema nchi hii inawajenga watu wake katika misingi ya usawa? Huu si ubaguzi? Mbona hata wazungu wakijenga shule zao wanaruhusu watoto wa mataifa mengine kujiunga na shule zao?
 
Back
Top Bottom