Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
Mama Mdogo;
Kwa kuna tofauti gani ya watoto wa miaka 4 wa wenye pesa wanaopelekwa shule za boarding zilizopo Uganda na Kenya bila kuwa na uangalizi wa wazazi wao na hawa wanaopelekwa shule ya mwalimu Nape?
Mi sijaelewa hapa una maana gani mkuu,watu wanaongea vitoto vimenyweshwa pombe hakuna hatua zilizochukuliwa.
Wasiwasi kwamba sijakupata vema.