Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utajua kwanini unakula chakula kizuri alafu unakunya mavi yananuka then unayakimbia kwa harufu mbaya .utashuhudia wakichinjwa kama kuku hao watoto
Hizi kashikashi hazijaanza leo, ni za siku nyingi ila ndo nataka zinitoke niachane nazo
Nimekuwa nikifuatilia thread zako humu jamvini,Wiyelele,naona kama ni za kufikirika sana vinginevyo maisha yako ni great adventure.Otherwise good luck bro.
mmmmh!kwa hiyo na mama yao atakuwa mkeo wa pili?Naamanisha uta mhalalisha?
Wiyelele punguza porojo; njoo na hoja za kusaidia sisi member of JF kujikwamua kiuchumi
Ndugu, kweli mwenzenu ni na shida na sijui zitaishaje. Juzi tu nilikuwa na tatizo la mke wangu na bado halijakwisha. Likaja hili la GF wangu wa zamani. Lakini, ninao watoto wawili nje ya ndoa kutoka kwa rafiki wa mke wangu. Mmoja ni mtoto wa kike (7 yrs) na mwingine wa kiume (4yrs). Rafiki wa mke wangu ambaye bado ana urafiki na mke wangu, alinililia sana baada ya kukaa miaka 2 bila kupata watoto kwamba wasingeweza kupata mtoto. Baada ya kudhibitika kwamba yeye hakuwa na tatizo la kupata watoto na mme wake ndo mwenye matatizo, aliniomba nizae nae watoto. Mimi niliyaweka kwenye maandishi na yeye akakubali kutia sahihi. Watoto hawa ni wazuri na wana afya njema, jamaa hajui lolote na anawapenda sana watoto hawa. Lakini ili niweze kuwalea watoto wangu vizuri, nimeona sasa wakati umefika niwachukue watoto wangu kwa vile tayali ninaushahidi wa kutosha kwamba ni wangu vikiwepo na vipimo vya vinasaba.
Lakini wasiwasi wangu ni kwamba yule ni mke halali wa mtu! Kisheria, japo sio kosa la jinai kuzaa na mke wa mtu, ni kosa la kawaida ambapo naweza kulipa fidia kubwa sana na pengine kutenganisha hata ndoa yao. Mke anataka nimpatie mtoto wa tatu kutokana na mme wake kuhitaji mtoto wa tatu. Sasa nifanyeje jamani? Nisaidie jamani nifanyeje? Mi nataka watoto wangu na sitaki tena kumpatia mtoto mwingine.
tutalalamika sana ktk nyanja nyingi ila ttz ni u dot com. je wafikir haya mambo hayakuwepo kipindi cha wazee wetu? ni siri tu ndio iliyowasaidia na kutufikisha ktk maisha mazuri ya sasa. sasa ww dot com unataka tujadili habari nzito kama hiyo ndani ya JF!!! toka zako
Wiyelele kweli mwanaume mwenye akili timamu unaweza kufanya mkataba wa kuzini na mke wa mtu? Nadhani kuna haja ya kuruhusu zile mahakama za kadhi ziondoe kadhia kama hii ya kwako kwa kubondwa na mawe mpaka wote wawili mfeAsante sana, mwenye kushiba hajui njaa! Waambie JF waondoe hii area ya Mahusiano ili sisi wenye shida twende Mahakamani au kanisani na huko jamii ikatushangae. Hapa tunapunguza hasira tulizonazo kwa kupata ushauri mbalimbali. Kama unaboreka, ruka juu nenda zako
if only u need peace in this world maana hata ndugu zako wa damu kbisa hawatakuelewa nakwambia .itazua mtafaruku wa kufa mtu .soits better to kama mlivyoweza kufanya siri ya miaka zaidi ya 7 na kweli haikuvuja ppte.basi na iwe hivo mpaka kufa never mention this as long as watoto wanaishi vizuri kabisa ,kuna movie moja kama hili tukio lako jamaa alisingiziwa hivohivo ila kufika mahakamani wale watoto walimkana real father na mahakama kuamuru waendelee kuishi na huyo bb aliyewalea .tulia kimya na mkeo msomi .lol hivi amejirekebisha ?nivea wll i need is your help. Nataka niondokane na haya matatizo maana yamenisumbua kwa uda mrefu. Nakata niwe mpya niingiapo 2013 Mungu akipenda.
Wiyelele kweli mwanaume mwenye akili timamu unaweza kufanya mkataba wa kuzini na mke wa mtu? Nadhani kuna haja ya kuruhusu zile mahakama za kadhi ziondoe kadhia kama hii ya kwako kwa kubondwa na mawe mpaka wote wawili mfe
if only u need peace in this world maana hata ndugu zako wa damu kbisa hawatakuelewa nakwambia .itazua mtafaruku wa kufa mtu .soits better to kama mlivyoweza kufanya siri ya miaka zaidi ya 7 na kweli haikuvuja ppte.basi na iwe hivo mpaka kufa never mention this as long as watoto wanaishi vizuri kabisa ,kuna movie moja kama hili tukio lako jamaa alisingiziwa hivohivo ila kufika mahakamani wale watoto walimkana real father na mahakama kuamuru waendelee kuishi na huyo bb aliyewalea .tulia kimya na mkeo msomi .lol hivi amejirekebisha ?