Watoto wa pande za Kibaki Kenya hakunaga, warembo kupitiliza

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
6350_279296448860343_1721208869_n.jpg
15485_279298438860144_394709168_n.jpg
68691_274453416011313_2035921799_n.jpg
262372_223669714429450_2083106994_n.jpg
377677_223670874429334_1268071903_n.jpg
394526_223670717762683_1519952557_n.jpg
421751_223669997762755_1156051636_n.jpg
538606_223670224429399_1339293605_n.jpg
581505_223674584428963_587402234_n.jpg
14473_274487016007953_1628517821_n.jpg
565015_253257051464283_1888009377_n.jpg

kuanzia Nairobi, Machakos, Mombasa, Malindi, Thika, Nakuru, Eldoret etc kila unayemuona mzuri
 
Mbona hao mabint waliovaa magauni black halafu wanajiangalia makalio ni watoto wa prof.Juma kapuya so acha kutudanganya
 
Bwana acha mbwembwe hata kwa Kikwete mbona hao wapo tena wengi tu,akina Jokate,Sepetu,Anti,Agnes Masogange na wengine wengi tu siwezi kuwamaliza.Au we bado hajawaona??????????
 
Unafaa sana,na kwa ilo nakuunga mkono.Watoto wa kibongo ni nomaa.
 
hujaona totoz za kibongo wewe! Sio wale wanajiuza kwenye bongo movies au bongo flavor no! Pita tu kitaani utawaona wanavyowaka
 
Na we TUKUTUKU mbona unakuwa hivyo?kwani bongo hawapo?tena mi naona ni wakali kuliko hao wa kibaki.Au hujaona??????????
Mkuu labda mimi sina bahati,maana nimezunguka sana lakini kwa bahati mbaya sijawahi kuona,mimi nakutana na mipoyoyo tu!
 
hiyo ya mademu wamesimama wameshika bottles ni wabongo, kama two yrs back ilikua miss high learning Dodoma, acha urongooo!
 
hujaona totoz za kibongo wewe! Sio wale wanajiuza kwenye bongo movies au bongo flavor no! Pita tu kitaani utawaona wanavyowaka
Mtaani ndiyo maeneo tunayoishi,labda huko jolly club sijafika!wengi niliyokutananao mimi ni wa kawaida sana!
 
Sijui mimi ni mbaguzi au vipi,sijawahi ona mwanamke mzuri kuzidi mwanamke wa kiTanzania pamoja na kutembea karibu dunia yote...

tembea uone,tuwasiliane nikutembeze kwa gharama uone,kenya wanatisha pia kwa watoto,pia pande za bahir dar na addis ababa,na ukija asmara watoto mashalah
 
Mkuu labda mimi sina bahati,maana nimezunguka sana lakini kwa bahati mbaya sijawahi kuona,mimi nakutana na mipoyoyo tu!
Haaaaahaaaaaaahaaaaaaaa pole sana mkuu,hata kwenye magazeti hujawahi kuwaona jamani basi kweli we una mkosi,afu kwanza ushazunguka wapi na wapi weye??Ila ongeza kuzunguka utawaona tuuu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom