Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Katibu Mkuu ni kama Jaji wa Mahakama, haitakiwi ateuliwe kutokea kufundisha chuoni, hata awe Professor. Anatakiwa awe anajua utawala watu huru siyo wanafunzi.Vinginevyo ungeona maprofesa hapa duniniani wameajiriwa sehemu nyingi.Mtazamo wa Tanzania kama wako ni sababu mojawapo ya Tanzania kuwa hapa tulipo; kuwa na maendeleo hasi; tunachanganya kusoma na utendaji na pia kuwa na imani potofu kuwa mtu ye yote anaweza kufanya kazi yo yote! Ndiyo maana wengi tunategemea waganga wa kienyeji badala ya kwenda hospitali. Akili ya aina hii imeshamiri hata kwa waliokwenda shule. Ni aibu!
Hiyo ndiyo sumu inayoliangamiza Taifa!
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Umemsahau " wapigwe tu jr'
Hivi Makinda Hana kinda linalofaa kuteuliwa hata mwenyekiti wa serikali ya mtaa?
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
nadhani wagogo hawana bahati
 
Umeelewa, hajawahi kuwa na bifu ila hawakua karibu. Ndio maana yeye alijipignaia Ila wenzake walisomeshwa na kupata kila kitu kutoka kwa baba

Mbona historia yake kaiweka wazi, kaishi vipi na kalelewa na nani...hii ni moja ya nukuu zake

"by the time nimefika Form Two I was a Super Street Smart nikaamua kuanza kuishi mwenyewe nikapata Studio Chumba kikubwa pale YMCA! pembeni ya Holidays In Hotel Downtown so nikahama kutokea lkulu kwa my Uncle Balozi Lusinde ambaye then alikuwa Waziri wa Mawasiliano"
 
Katibu Mkuu ni kama Jaji wa Mahakama, haitakiwi ateuliwe kutokea kufundisha chuoni, hata awe Professor. Anatakiwa awe anajua utawala watu huru siyo wanafunzi.Vinginevyo ungeona maprofesa hapa duniniani wameajiriwa sehemu nyingi.Mtazamo wa Tanzania kama wako ni sababu mojawapo ya Tanzania kuwa hapa tulipo; kuwa na maendeleo hasi; tunachanganya kusoma na utendaji na pia kuwa na imani potofu kuwa mtu ye yote anaweza kufanya kazi yo yote! Ndiyo maana wengi tunategemea waganga wa kienyeji badala ya kwenda hospitali. Akili ya aina hii imeshamiri hata kwa waliokwenda shule. Ni aibu!
Yaani kwa bongo makatibu wakuu waliotokea vyuoni ni wengi sana,ninaowajua mimi,francis michael-udsm,prof eliamani sedoyeka-TIA,jimmy jonas -IFM,emmanuel ole gabriel -IFM,kuna yule akitoka udsm akaenda nssf nae sasa ni katibu mkuu sonebody kahrayra sijui
 
Yaani kwa bongo makatibu wakuu waliotokea vyuoni ni wengi sana,ninaowajua mimi,francis michael-udsm,prof eliamani sedoyeka-TIA,jimmy jonas -IFM,emmanuel ole gabriel -IFM,kuna yule akitoka udsm akaenda nssf nae sasa ni katibu mkuu sonebody kahrayra sijui
Katibu mkuu wizara ya madini prof' Msanjila from Mzumbe University
 
Kuna siku Hawa vilaza ma juniour ndiyo watakua wanaendesha nchi.
Mmoja wao akishika hata u PM tu, tumeumia.
Kati ya Hawa vilaza nitajie mmoja aliyepata division one fomfoo.
Makamba alifutiwa matokeo ya fomfoo kwa kilichohisiwa udanganyifu japo the guy is bright.
Halafu Hawa vilaza wakija kuwatumbukiza watoto wao kwenye system ndio mtajua hamjui.
 
Sidhani hata kama wanaishi Tanzania, ni vijana wawili wa kiume...
Umeambiwa mmoja ni katibu Mkuu wizara sasa wizara ndio ipo nje?

Wapo bongo sana tu

Hawana vimbelembele kama hao wengine
Siasa sio kipaumbele kwao
 
Back
Top Bottom