sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Muhimu: Nimesema wengi sio wote
Ni kutokana na maisha waliyoyaishi
Akitoka shuleni, nyumbani hakuna kutoka (geti kali), ni kiangalia katuni na kufanya homework
Shule zao darasani unakuta watu 20 tu, hapo sana sana anaweza kuwa na mabesti wawili tu.
Na mambo mengine kadha na kadha.
Hiki kitu huwafanya wengi kukulia kwenye upweke.
Binafsi nakumbuka rafiki yangu moja ni besti ila leo hii tukigombana sijui hata atachati na nani maana asilimia 70 ya mawasiliano yake ni kwangu.
Pia nmetoka na watoto wa kishua wa kike haikuwa ngumu kabisa
Ni kutokana na maisha waliyoyaishi
Akitoka shuleni, nyumbani hakuna kutoka (geti kali), ni kiangalia katuni na kufanya homework
Shule zao darasani unakuta watu 20 tu, hapo sana sana anaweza kuwa na mabesti wawili tu.
Na mambo mengine kadha na kadha.
Hiki kitu huwafanya wengi kukulia kwenye upweke.
Binafsi nakumbuka rafiki yangu moja ni besti ila leo hii tukigombana sijui hata atachati na nani maana asilimia 70 ya mawasiliano yake ni kwangu.
Pia nmetoka na watoto wa kishua wa kike haikuwa ngumu kabisa