Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,470
- 45,614
Ni vile tu sina tabia hyo ila nikitaka ni sekunde mtaani hakuna shikamoo wala nini ni mambo dada ukijisahau unaliwa au kuolewa kabisa.
Ngoja wamalize mitihani tuolewe tu hamna namna.Bora kuolewa na mtoto kuliko kuwa mchepuko wa wazee wenzangu.
Vijana wa miaka 35-40 ambao hawajawai kuoa ni pasua kichwa usijaribu.
45-ni watalaka hawa nao sio wa sport sport
50-nao watalaka au wagane nao sio mchezo
60-wastaafu hawa nao watalaka au wagane wana hadi wajukuu
25- kwenda chini brand new wanatulia kabisa refer Dogojanja, Uchebe, Brown wa Wolper, Diamond wa Zari.
Ngoja wamalize mitihani tuolewe tu hamna namna.Bora kuolewa na mtoto kuliko kuwa mchepuko wa wazee wenzangu.
Vijana wa miaka 35-40 ambao hawajawai kuoa ni pasua kichwa usijaribu.
45-ni watalaka hawa nao sio wa sport sport
50-nao watalaka au wagane nao sio mchezo
60-wastaafu hawa nao watalaka au wagane wana hadi wajukuu
25- kwenda chini brand new wanatulia kabisa refer Dogojanja, Uchebe, Brown wa Wolper, Diamond wa Zari.