Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Kama hawa ndo watoto wa jirani yako wamefanya hivi choo chako cha nje utawafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamevunja mkuu!Usiwafanye kitu weka kufuli kwenye mlango wa hicho choo.
Weka mlango wa grills, na pia jenga kwa tofali hicho choo! Kama uko mkoani jengea tofali za kuchoma kama uko dar jengea tofali zetu za mchanganyiko wa mchanga na cement(blocks) inch tano! Hiduma zote natoa kwa hapa dar nafanya kazi ya grills , aluminium na bidha zote za mbao na ujenzi wa kisasa kwa ujumla mahali popote tunakufikia kwa Tanzania hiiWamevunja mkuu!
Asante japo naogopa uhasamaaiseeh! fanya mpango wakulipe mkuu ili iwe funzo, ukiwaacha watakuja kufanya kitu kingine kibaya zaidi, michezo gani hiyo aisee. pole sana
Sawa nashukuru snWeka mlango wa grills, na pia jenga kwa tofali hicho choo! Kama uko mkoani jengea tofali za kuchoma kama uko dar jengea tofali zetu za mchanganyiko wa mchanga na cement(blocks) inch tano! Hiduma zote natoa kwa hapa dar nafanya kazi ya grills , aluminium na bidha zote za mbao na ujenzi wa kisasa kwa ujumla mahali popote tunakufikia kwa Tanzania hii
Wajengee Choo yao ili wasije kwako
Sijui nilitoka mishe nikakuta hivyoKwahiyo walikuwa wanakunya wakachamba na hayo mawe kisha wakaosha mikono na huo mchanga?
ACACIAWamekuwekea MAKINIKIA..!! Kazi ni kwako KUYACHENJUA...
Usiogope mkuuSema mkuu kuwa makini choo kinatitia..
Uswazi tu mkuu ila sio km hawana chooKwao hawana choo hadi waje kwako?