Watoto wa jirani niwafanyaje?

Mathias Raymond Nyakapala

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
2,182
1,490
Kama hawa ndo watoto wa jirani yako wamefanya hivi choo chako cha nje utawafanyaje?

3857b4f6a40ebbc67d383d89384b24b1.jpg
 
Wamevunja mkuu!
Weka mlango wa grills, na pia jenga kwa tofali hicho choo! Kama uko mkoani jengea tofali za kuchoma kama uko dar jengea tofali zetu za mchanganyiko wa mchanga na cement(blocks) inch tano! Hiduma zote natoa kwa hapa dar nafanya kazi ya grills , aluminium na bidha zote za mbao na ujenzi wa kisasa kwa ujumla mahali popote tunakufikia kwa Tanzania hii
 
Weka mlango wa grills, na pia jenga kwa tofali hicho choo! Kama uko mkoani jengea tofali za kuchoma kama uko dar jengea tofali zetu za mchanganyiko wa mchanga na cement(blocks) inch tano! Hiduma zote natoa kwa hapa dar nafanya kazi ya grills , aluminium na bidha zote za mbao na ujenzi wa kisasa kwa ujumla mahali popote tunakufikia kwa Tanzania hii
Sawa nashukuru sn
 
Kifunge ufungue u kit aka kuingia tu. Hii ni lack of activities kwa watoto wakiwa board wanafanya vitu vya ajabu. Kama muda huo wangu tu Mia na kocha me chi za mchangani si tungepata wakina Samatta wengine jamani.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom