Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

Watoto wa polisi Tanzania wengi huiridhi kazi ya baba zao wengi hawana uwezo class hivyo huridhi unjagu
 
Isiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesi nyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto.

Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
ni askari kanzu pale kirumba mbona hanaga noma na mtu
 
Huyu kuna siku alichezea kichapo maeneo ya mbezi, toto lihuni halafu lijinga haswa sasa baba yake akiwa IGP sisi wengine tufanyaje. Kama sio watu kuingilia ilikuwa ageuzwe mwanamke usiku ule..
 
Tutofautishe kazi na familia ya mtu,kazi inabaki kama kazi na familia inabaki kama familia tuwe waelewa
Aigipii aliporopoka kuwa wazazi wasizae watoto watukutu kama Hamza, yeye alizaa wenye hekima? Wazazi wa Hamza lazima wamlaani, nasisi tunamuombea dua mbaya mpaka kizazl chake cha 4
 
Kuna mmoja tumesoma naye seminari, he was very principled kwa kweli. Alikuwa na tabia njema sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom