Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,797
- 4,842
Usi mu underrate mzee Mabala!! Labda humjui
muKwa kumuangalia tu huyu baba anaonekana mgonjwa wa akili
muKwa kumuangalia tu huyu baba anaonekana mgonjwa wa akili
MabelaMabala anaumwa au Sirro?
Moja niliwahi kuwashuhudia live kangamoko lipo Maeneo ya ushirombo likiitwa makuti kama sikoseiNasikia ana miliki madangulo
ni askari kanzu pale kirumba mbona hanaga noma na mtuIsiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesi nyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto.
Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
deusi je? askari kirumbaHana dume? au alikuwa makini asizae mpiga risasi!
Mzungu wa rangi,ila ni mbongo huyoDuuh kumbe ni mzungu
Huyu kuna siku alichezea kichapo maeneo ya mbezi, toto lihuni halafu lijinga haswa sasa baba yake akiwa IGP sisi wengine tufanyaje. Kama sio watu kuingilia ilikuwa ageuzwe mwanamke usiku ule..
Weekend tukutane VatcanMoja niliwahi kuwashuhudia live kangamoko lipo Maeneo ya ushirombo likiitwa makuti kama sikosei
Lazima wahuni wanapakua kabangKuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hilo
Kwa ile sura na akili zao ukioa hao mabinti,unazaa watoto sura kama poleple,steven nyerere...pia watakua wajinga kama babu yao,hiyo familia haifai ni laana kuoaNi pisi 4,
2 zimeolewa,
2 ziko home, mzee wao alisikika kwenye sherehe fulani akiomba watu wapeleke mahari.
Aigipii aliporopoka kuwa wazazi wasizae watoto watukutu kama Hamza, yeye alizaa wenye hekima? Wazazi wa Hamza lazima wamlaani, nasisi tunamuombea dua mbaya mpaka kizazl chake cha 4Tutofautishe kazi na familia ya mtu,kazi inabaki kama kazi na familia inabaki kama familia tuwe waelewa
Kwa ile sura ya baba yao lazima mabinti zake sura mbovu,kwahiyo lazima wahongeMmh. Wanasema alikuwa anahonga sana.
Oh Hell No.I wish I could be IGP
Alichukua uraia miaka mingi sana. Ni mtanzania na mwanaharakati mzuri sana.Mfatilie Twitter.Duuh kumbe ni mzungu
OkAlichukua uraia miaka mingi sana. Ni mtanzania na mwanaharakati mzuri sana.Mfatilie Twitter.
Isiwe ndiwe!Mimi nadhani sio fair kuwaweka watoto wake kwenye public scrutiny wakati sio public figures...ibaki tu kua Sirro alikosea sana ,lkni mmbo ya kuingiza wanae siyo kbsaa
Avazali!Ngoja nikae kimya...