Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,068
Kuna watoto tu wengi wa wakulima,wapiga debe,wauza ngada,wauza pombe na watu ambao wamedharaulika kwenye jamii lakini leo hii hao watoto ni watu muhimu kwenye jami!!Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao
Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
So haijalishi Baba yako ni nani,unaweza ukawa yeyote utakaye!