-Jiulize swali kwa Nini Hata hao Polisi wakisikia Nafasi za Kaz TRA na BoT na wao wanaomba? Unafikiri kwa nn?hawa jamaa wanabisha tu kwakua wanaonaga wale polisi wa vyeo vya chini wana njaa, traffic wana pesa sana na majumba makubwa wao wanapata saa nyingine mshahara wao wote ndani ya nusu saa tu kwa ma deal wale,unapiga laki 9 mchana,asubuhi ulipiga laki,bado kesho tena