KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,713
- 12,063
Mbona hawajajaza Maji kwenye huo mtumbwi ili condensation itake place faster!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,hapo ni distillilation na condensation!Duuh,.mbona kama filtration and crystallisation hahahah...
"NKANJIWA"View attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........
Fractional distillationView attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........
juzi tu hapo
Umenifurahisha na neno kochoko hahahaha ww utakuwa mtu wa kusini au uliishi sana hukuNishakutana na mtambo wa hivi kule masasi, wanatumia "kochoko".. Kilichokosekana kwenye huo mtambo ni maji tu for cooling..
Mtambo wa mafuta ya tumbakuView attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........
View attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........
DC (Distillation Column)View attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........
Mingi IPO msaranga huko moshi kilemakyaro.View attachment 1012425
Africa tuna mambo mengi ya ubunifu.......sijui huu mtambo unaitwaje na unatengeneza nini? je hapa tz ni maeneo gani hasa mtambo huu unapatikana........