Watoto wa form one kwenye somo la kemia huu mtambo unaitwaje?

Kwetu kusini huku mitambo hiyo ipo mingi sana yaani karibia kila nyumba kumi mtambo huo upo, hii ni kutokana na utengenezaji wa pombe inayotokana na mabibo yaliyokauka ambayo wanayaita "kochoko". Sasa kochoko hicho ndo zinapikwa kwa stail hiyo ambayo inatoa pombe inayoitwa nipa nyie mjin mnaita gongo ila huku imehalishwa mana watu wanakunywa bila kificho kutokana ni pombe ya matunda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaitwa Tripod Stendi au ROUNDI BOTOMUED FLASKI.
TRIPOD STENDI.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom