Kabinti kangu ka miaka mitano (05) kameniuliza maswali yafuatayo:-
* Baba kwanini mapaja yetu ni makubwa kuliko miguu, wakati miguu ndio inayobeba mwili wote?
*Na juzi kati aliniuliza, "kwanini mama au wewe unapokuwa unataka kubadilisha nguo huwa haumfukuzi mama au wewe huwa haumpishi mama?"
Swali la kwanza nilishindwa kujibu kwa kweli;
Swali la pili, nilijibu kuwa mama huwa simfukuzi kwa kuwa yeye ni mkubwa sana. Akaniuliza, mbona dada (msichana wa kazi) huwa haingii na wakati yeye pia ni mkubwa?
*Nahisi hakuridhika na majibu yangu
Mmh.. Hawa watoto hawa! Jipangeni wazazi/wazazi watarajiwa.
* Baba kwanini mapaja yetu ni makubwa kuliko miguu, wakati miguu ndio inayobeba mwili wote?
*Na juzi kati aliniuliza, "kwanini mama au wewe unapokuwa unataka kubadilisha nguo huwa haumfukuzi mama au wewe huwa haumpishi mama?"
Swali la kwanza nilishindwa kujibu kwa kweli;
Swali la pili, nilijibu kuwa mama huwa simfukuzi kwa kuwa yeye ni mkubwa sana. Akaniuliza, mbona dada (msichana wa kazi) huwa haingii na wakati yeye pia ni mkubwa?
*Nahisi hakuridhika na majibu yangu
Mmh.. Hawa watoto hawa! Jipangeni wazazi/wazazi watarajiwa.