Titus
Member
- Jul 28, 2007
- 81
- 2
Uvivu kama huu ni noma...!
Mtoto: Baba naomba glasi moja ya maji ya kunywa
Baba: Si uchukuwe mwenyewe kichaa nini?
Mtoto: Jamani baba si nimekuomba tu lakini....
Baba: Ukisema ten anitakuja kkuzaba kibao
Mtoto: Basi ukija kunizaba kibao uje na maji ya kunywa pia!
Have a good day ya'll
Cheers!!!!!!!
Mtoto: Baba naomba glasi moja ya maji ya kunywa
Baba: Si uchukuwe mwenyewe kichaa nini?
Mtoto: Jamani baba si nimekuomba tu lakini....
Baba: Ukisema ten anitakuja kkuzaba kibao
Mtoto: Basi ukija kunizaba kibao uje na maji ya kunywa pia!
Have a good day ya'll
Cheers!!!!!!!