JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Mlo kamili (balanced diet) ni muhimu kwa ajili ya maendeleo mazuri ya afya ya mjamzito na mtoto tumboni na kumuepusha na hatari ya kujifungua #MtotoNjiti
Pamoja na mlo kamili, mjamzito hupewa virutubisho ziada (supplements) kwa ajili ya kuongeza madini kama chuma na Foliki
Mlo kamili unajumuisha vyakula vya wanga, protini, mafuta, vitamini, madini na maji