Wapelekee kwa mama yangu wakatembee maana nipo mbaliEid Mubarak!
Baada ya kuwanunulia nguo za Eid sasa niwakati wa kutafuta sehemu ya kuwapeleka wanangu kutembea Leo hii siku ya Eid.
Naombeni sehemu ya kwenda maana nimechoka kila siku Coco beach tu bhana.
Asanteni
Hiyo safi sana mkuu.Mimi nimekua nikiwa mbali na family siku za sikukuu hii ni nafasi adhimu kwangu
FuncityEid Mubarak!
Baada ya kuwanunulia nguo za Eid 😃sasa niwakati wa kutafuta sehemu ya kuwapeleka wanangu kutembea Leo hii siku ya Eid.
Naombeni sehemu ya kwenda maana nimechoka kila siku Coco beach tu bhana.
Asanteni