kinyangesi
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 247
- 85
Watoto wa siku hizi balaa tupu. magufuri alikuwa na mkutano, akasema wenye majumba waliojenga karibu na barabara nyumbazao zitawekwa X. watoto wote wakashangilia kwa furaha, Heeeeee. akakaita katoto kamoja akakauliza mbona mmefurah sana? kakajibu muheshimiwa ukiweka X weka za kiswahili maana wazungu tumewachoka hawavai SHANGA. magufuli toba