Watoto na X

kinyangesi

JF-Expert Member
Jul 15, 2012
247
85
Watoto wa siku hizi balaa tupu. magufuri alikuwa na mkutano, akasema wenye majumba waliojenga karibu na barabara nyumbazao zitawekwa X. watoto wote wakashangilia kwa furaha, Heeeeee. akakaita katoto kamoja akakauliza mbona mmefurah sana? kakajibu muheshimiwa ukiweka X weka za kiswahili maana wazungu tumewachoka hawavai SHANGA. magufuli toba
 
Watoto wa siku hizi balaa tupu. magufuri alikuwa na mkutano, akasema wenye majumba waliojenga karibu na barabara nyumbazao zitawekwa X. watoto wote wakashangilia kwa furaha, Heeeeee. akakaita katoto kamoja akakauliza mbona mmefurah sana? kakajibu muheshimiwa ukiweka X weka za kiswahili maana wazungu tumewachoka hawavai SHANGA. magufuli toba

hiyo mitoto itakuwa ya uswazi sana ,ha ha ha ha....
 
Watoto wa siku hizi balaa tupu. magufuri alikuwa na mkutano, akasema wenye majumba waliojenga karibu na barabara nyumbazao zitawekwa X. watoto wote wakashangilia kwa furaha, Heeeeee. akakaita katoto kamoja akakauliza mbona mmefurah sana? kakajibu muheshimiwa ukiweka X weka za kiswahili maana wazungu tumewachoka hawavai SHANGA. magufuli toba
Asante, imenichekesha.Hizo ndio perception ya watoto.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom