Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Akiacha siasa, vichwa maji atawasemea nani ?Huyo Mbowe siasa si aache tu kwani lazima kuwa mwanasiasa na mtaji tayari anao? Si alime hata maparachichi tu
Mungu ni mwema atasimama nao kwa kila jambo.Kila siku huwa nianatafakari hali mnayoipitia. Hakika Mwenyezi Mungu awalinde, awaongoze na awatie nguvu sana ili msije jaa roho mbaya na zisizo na hofu ya Mungu kama za watesi wenu! Yote hii kwa sababu tu ya madaraka! Khaaaa!
Mku kila mtu ana wito wake hapa duniani.Huyo Mbowe siasa si aache tu kwani lazima kuwa mwanasiasa na mtaji tayari anao? Si alime hata maparachichi tu
Anadhani hizo familia nyingine hazihitaji MunguVipi familia za wale ambao wangekumbwa na ugaidi wa Mbowe? Au wao sio watu? Hawana familia?
Sasa ana tofauti gani na mlevi ambaye pombe haimtaki! Anakunywa analewa na kujikojolea na kulala mitaroni ila ukimshauri aache anakuona bwege tu?Mku kila mtu ana wito wake hapa duniani.
Kama anafanya mazuri ktk medani aliyoko kwa nini aiache.
Kwa ujumla Mbowe ni mwanasiasa wa mfano kwa Tanzania ya leo pamoja na uanaccm wangu ukweli utabaki ulivyo
Mku sijakuelewa.Sasa ana tofauti gani na mlevi ambaye pombe haimtaki! Anakunywa analewa na kujikojolea na kulala mitaroni ila ukimshauri aache anakuona bwege tu?
Amina Bwana wa Majeshi atawashindiaKila siku huwa nianatafakari hali mnayoipitia. Hakika Mwenyezi Mungu awalinde, awaongoze na awatie nguvu sana ili msije jaa roho mbaya na zisizo na hofu ya Mungu kama za watesi wenu! Yote hii kwa sababu tu ya madaraka! Khaaaa!
Ccm lumumba fc na komenti zao.Muombee basi na bibi yako ambaye hakuna anaemjua huko kijijini hata siku moja moja.
Haters na irrelavant examples zenuSasa ana tofauti gani na mlevi ambaye pombe haimtaki! Anakunywa analewa na kujikojolea na kulala mitaroni ila ukimshauri aache anakuona bwege tu?
Mimi sio hater namuonea huruma anavyodhalilishwa! Mbowe ni mtu mzima sana kwa sasa sio kama sisi vijanaHaters na irrelavant examples zenu
Ila ifikie wakati akae kando! Mbona slaa ameweza kujienguaMku sijakuelewa.
Japokuwa kila mmoja ana namna ya kuelewa jambo. Kwani nimemanisha Mbowe ni kiongozi mahiri kwa Tanzania ya leo.
Tukumbuke ametengeza team ya kisiasa ndani chama chake na nchi kwa ujumla. Ni kiongozi wa kuigwa na kila mwanasiasa mwenye malengo ya kwenda mbali kiuongozi
Wewe chaggadomo fc, acha kulialia. Ingia barabarani uandamane makengeza atoke.Ccm lumumba fc na komenti zao.
Mkuu Mbowe ni Bilionea. Angekuwa Mtu wa Ku-Give up asingekuwa level hiyo ya kushambuliwa na vyombo vyote vya dola. Ni Mtu wa thamani kubwa.Mimi sio hater namuonea huruma anavyodhalilishwa! Mbowe ni mtu mzima sana kwa sasa sio kama sisi vijana
Slaa hakuwa na cha kupoteza. Chadema imejengwa na Mbowe. Ni Legacy yake.Ila ifikie wakati akae kando! Mbona slaa ameweza kujiengua
Hapo sawa😅😅😅 na ndio maana inamtesaSlaa hakuwa na cha kupoteza. Chadema imejengwa na Mbowe. Ni Legacy yake.
Mzee Rugemalila aligoma kutoa mzigo hata mie kwa umri wake ningekubali kufia jela!Mkuu Mbowe ni Bilionea. Angekuwa Mtu wa Ku-Give up asingekuwa level hiyo ya kushambuliwa na vyombo vyote vya dola. Ni Mtu wa thamani kubwa.
Sisi maskini tujifunze kwa waliofanikiwa badala ya kutaka wawe kama sisi. Did you learn anything kutoka kwa Mzee Rugemalila ambaye ni Multibilionea na Mzee wa over 60+yrs kaka jela 4yrs.
Kwa idea yako Mzee Ruge angehonga ili aachiwe. Kijana unalala mahabusu siku moja unalialia mwaka mzima. That is not life. Ushauri wako ni wale wale wasiompenda Mbowe kwa hisia zao wanazoIjua
Sasa unapomshauri Mbowe kuacha siasa una maana gani? Humuonei huruma Ruge ila unamhonea huruma Mbowe? Huruma yako ya mashaka.Mzee Rugemalila aligoma kutoa mzigo hata mie kwa umri wake ningekubali kufia jela!
Uingizwe ndani on your mid 50’s halafu ukubali kufilisiwa ina make sense? How you gonna get that money again?