Kama mwaka mmoja uliopita tulipata matokeo ya kusikitisha na chukizo kwa umma wa watanzania Leo tukipata matokeo mazuri ni furaha kwa wote lakini matokeo haya lazima yapite katika indicators zote ili yawe validated kwanza tuone kama mitihani ni ya viwango sitahili au ni miepesi ili kudefeat political pressure around watawala. Kupanua magoli anakosema Meena kupo kwa aina nyingi na moja ni kutunga mitihani miepesi tunaomba mitihani yote ya darasa la Saba na form four iwekwe kwenye thread hii ili tuijadili wadau wa elimu na tujiridhishe kama ilikuwa ni ya kiwango Stahili.