Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
inawezekana kabisa ni coicedence au nimepangiwa kuishi kwenye jamii ya kipato cha chini ili nishuhudie haya yote, kuna mabinti madogo mno under 15 wanafanyiwa mambo ya kifirauni na wanaume washenzi ambao wengi wana mabinti kama hao, mabinti darasa la tano tayari anajua kulala na mwanaume!!! tunaipeleka wapi jamii??? wanazalishwa wanakosa fursa za kufurahia usichana wao, tunawakosesha fursa za kutimiza ndoto zao!!! anakuvulia chupi lakini usoni amejaa sononi, hana furaha na anaumia kimyakimya, tunaumba kizazi cha malipizi