Watoto bila chanjo, chanzo cha moto

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Eti nyie wenye watoto wachanga!

Je, yamewakuta kama ya kwangu? Kwa miezi kadhaa sasa nakwenda hospitali za serikali kumpeleka mwanangu wanasema chanjo hakuna kabisa. Sasa tunatengeneza taifa la namna gani la wakati ujao kama watoto wetu hawachanjwi chanjo za kinga zinazostahili?

Nawasalimu

Asha
 
Kwa miezi kadhaa sasa nakwenda hospitali za serikali kumpeleka mwanangu

Dada Asha habari,
Sentensi yako iko too general,
uko Dar au mikoani?
Mwanao ana umri gani/au unaongelea aina gani ya chanjo?
Na ulipewa sababu gani kwa nini chanjo haipo? na ni chanjo aina gani uliyotaka kumpatia mwanao?
 
juzi Ijumaa, mdogo wangu alienda Mburahati ingawa chanzo zilikuwepo lakini haikuwa ya kutosha wengine walirudi wameambiwa hadi Jumatatu. Sijui nini kinaendelea nitajaribu kufuatilia na kuwaletea habari. Kama tumefikia hali ya kutokuwa na chanzo basi tuna tatizo.

asante
 
Eti nyie wenye watoto wachanga!

Je, yamewakuta kama ya kwangu? Kwa miezi kadhaa sasa nakwenda hospitali za serikali kumpeleka mwanangu wanasema chanjo hakuna kabisa. Sasa tunatengeneza taifa la namna gani la wakati ujao kama watoto wetu hawachanjwi chanjo za kinga zinazostahili?

Nawasalimu

Asha

Kasana ana swali hapo juu usije kuingia mitini tena.
 
Wengi wanadhani kuwa chanjo ina msaada kwetu binadamu;la hasha usijidanganye.
Chanjo zimekuwa ni silaha kabambe na muhimu wanayotumia ma Freemason katika kuteketeza uhai wa binadamu.
Chanjo kama zile za ndui(small pox)na yellow fever(hipatitis B) zilitumika kuzambaza virusi vya ukimwi kule nchini Marekani kwa kutumia mashoga na wafungwa wakati huku Africa ikitumika kwa Watu wa Africa Magharibi.Kuna rundo kubwa la ushahidi wa haya yote.Hivyo ni upuuzi mtupu kusema kuwa ukimwi umetokana na nyani ajulikanaye kama green monkey huko nchini Congo DRC.
Hivyo hakuna uhusiano wowote kati ya HIV na ugonjwa wa ukimwi.Kinachosababisha ukimwi ni hizi dawa wanawapa watu ambao hata virusi vya ukimwi hawana bali ni mfumo tu wa kinga umeshambuliwa na kukosa nguvu aidha kwa sababu ya lishe duni au magonjwa mengine ambayo pia hayahusiani na ukimwi hata chembe.
Hivyo hata ugonjwa wa ukimwi kama wanavyodai si kwamba hauna Dawa bali dawa ipo kabisa ila wanachofanya ni kupunguza idadi ya binadamu ili kizazi cha nyoka kiweze kuitawala dunia vizuri na pasipo kikwazo chochote.
Hivyo basi ninyi kina mama msidhani chanjo asipoipata mtoto hatakufa la hasha hata kufa Upo Hapo!
Pamoja na hayo kuna kampeni kama ile ya nyota ya kijani(uzazi wa mpango ambao pia madhara yake ni makubwa hapo baadae) ambayo ilishika kasi miaka ya mwishoni mwa 1970 baada ya chanjo ya magonjwa niliyoyataja hapo juu kusambazwa kwa njia hiyo.Pia magonjwa kama Ebola,Black Death,Bird Flue na mengineyo ni ya kutengeneza tu kama virusi vya ukimwi vilivyotengenezwa kwenye zile maabara za kivita huko Marekani ndani ya Jimbo la Maryland.
Wakati huo huo Taifa la Marekani likiona madhara yametokea ambayo wao wenyewe wameyatengeneza basi hugharamia vitu kama chanjo na madawa wakiupa mtizamo wa ubinadamu huku wakituangamiza taratibu kwa njia hiyo.
Nitakuwa nimewapa jambo jipya ambalo linahitaji hekima na tafakari katika kuamua lipi ni sahihi na lipi siyo sahihi.
Hapa tuelewane,Kwa kuwa dunia nzima ilikwisha aminishwa hivyo na mafreemason wenyewe ambao wametuficha elimu yenye manufaa na umuhimu kwetu naa karibu asilimia 80% wanaamini hivyo itakuchukuchua muda kunielewa.Ukitizama mambo kwa juu juu tu hutaweza kukubali ila ukitizama mambo kwa undani zaidi na pande zote mbili ndipo utaweza kunielewa na kuyaelewa haya ninayoyasema.
Yapo mambo mengi ambayo pengine usingeweza kuyagundua mapema na yaliyokwisha wahi kutokea hapa duniani kama kuuwawa kwa viongozi wa serikali na Kanisa na Sababu za vita ambavyo vimekuwa haviishi ndani na nje ya Bara la Africa.
Nakutakia Tafakuri njema na yenye mafanikio na kwa wenzako pia juu ya hili jambo zito la kuepukwa.
Godfrey Martin.
Mwanafunzi wa Sheria chuo Kikuu Mzumbe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa kutumia namba 0754373727.au barua pepe gmarttz@yahoo.com
 
Wengi wanadhani kuwa chanjo ina msaada kwetu binadamu;la hasha usijidanganye.
Chanjo zimekuwa ni silaha kabambe na muhimu wanayotumia ma Freemason katika kuteketeza uhai wa binadamu.
Chanjo kama zile za ndui(small pox)na yellow fever(hipatitis B) zilitumika kuzambaza virusi vya ukimwi kule nchini Marekani kwa kutumia mashoga na wafungwa wakati huku Africa ikitumika kwa Watu wa Africa Magharibi.Kuna rundo kubwa la ushahidi wa haya yote.Hivyo ni upuuzi mtupu kusema kuwa ukimwi umetokana na nyani ajulikanaye kama green monkey huko nchini Congo DRC.
Hivyo hakuna uhusiano wowote kati ya HIV na ugonjwa wa ukimwi.Kinachosababisha ukimwi ni hizi dawa wanawapa watu ambao hata virusi vya ukimwi hawana bali ni mfumo tu wa kinga umeshambuliwa na kukosa nguvu aidha kwa sababu ya lishe duni au magonjwa mengine ambayo pia hayahusiani na ukimwi hata chembe.
Hivyo hata ugonjwa wa ukimwi kama wanavyodai si kwamba hauna Dawa bali dawa ipo kabisa ila wanachofanya ni kupunguza idadi ya binadamu ili kizazi cha nyoka kiweze kuitawala dunia vizuri na pasipo kikwazo chochote.
Hivyo basi ninyi kina mama msidhani chanjo asipoipata mtoto hatakufa la hasha hata kufa Upo Hapo!
Pamoja na hayo kuna kampeni kama ile ya nyota ya kijani(uzazi wa mpango ambao pia madhara yake ni makubwa hapo baadae) ambayo ilishika kasi miaka ya mwishoni mwa 1970 baada ya chanjo ya magonjwa niliyoyataja hapo juu kusambazwa kwa njia hiyo.Pia magonjwa kama Ebola,Black Death,Bird Flue na mengineyo ni ya kutengeneza tu kama virusi vya ukimwi vilivyotengenezwa kwenye zile maabara za kivita huko Marekani ndani ya Jimbo la Maryland.
Wakati huo huo Taifa la Marekani likiona madhara yametokea ambayo wao wenyewe wameyatengeneza basi hugharamia vitu kama chanjo na madawa wakiupa mtizamo wa ubinadamu huku wakituangamiza taratibu kwa njia hiyo.
Nitakuwa nimewapa jambo jipya ambalo linahitaji hekima na tafakari katika kuamua lipi ni sahihi na lipi siyo sahihi.
Hapa tuelewane,Kwa kuwa dunia nzima ilikwisha aminishwa hivyo na mafreemason wenyewe ambao wametuficha elimu yenye manufaa na umuhimu kwetu naa karibu asilimia 80% wanaamini hivyo itakuchukuchua muda kunielewa.Ukitizama mambo kwa juu juu tu hutaweza kukubali ila ukitizama mambo kwa undani zaidi na pande zote mbili ndipo utaweza kunielewa na kuyaelewa haya ninayoyasema.
Yapo mambo mengi ambayo pengine usingeweza kuyagundua mapema na yaliyokwisha wahi kutokea hapa duniani kama kuuwawa kwa viongozi wa serikali na Kanisa na Sababu za vita ambavyo vimekuwa haviishi ndani na nje ya Bara la Africa.
Nakutakia Tafakuri njema na yenye mafanikio na kwa wenzako pia juu ya hili jambo zito la kuepukwa.
Godfrey Martin.
Mwanafunzi wa Sheria chuo Kikuu Mzumbe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa kutumia namba 0754373727.au barua pepe gmarttz@yahoo.com
Ahsante tatizo imeshakuwa kama sheria mtoto lazima achanjwe sijui tulikwama wapi
 
Back
Top Bottom