LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 245
Wanafunzi 33 kati ya 45 waliojeruhiwa na bomu lililolipuka Jumatano Ngara ,mkoani Kagera kusini Magharibi mwa Tanzania,wanategemea kuruhusiwa kutoka hosipitali ya Rulenge ambapo walikuwa wanapata matibabu.
Bado watoto wanne wako mahututi na wanategemea kupelekwa katika hospitali ya rufaa.