Watoa Degree fake kwa wakubwa sasa waingia Bongo

Mythbuster

Member
Dec 12, 2010
92
50
Mbunge wa Viti maalumu kwa tiketi ya CCM, Mh. Mary Mwanjelwa ametunukiwa na Rais wa Chuo cha United Graduate College & Seminary University, Prof Rivers mdigrii ya heshima ya Udaktari (PhD in Humanity),Katika sherehe iliyoudhuliwa na Dean of Students wa chuo hicho, Prof Ardenella Mich Pitz. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es salaam.

N
inachotaka kusema hapa ni kwamba hizi degree zina walakini kwani hawa jamaa wanaonekana matapeli na wameshtukiwa hivi karibuni nchini Kenya na hata State wanayotoka huko Marekani imeshasema kuwa haiwatambui. Tafadhali ingieni kwenye link hizi mujionee;
MBUNGE ATUNUKIWA DIGRII YA HESHIMA NA CHUO CHA MAREKANI - Global Publishers na YouTube - US commission disowns varsity
Inasikitisha sana viongozi wetu kuonekana wajinga hivi.
 
Mbunge wa Viti maalumu kwa tiketi ya CCM, Mh. Mary Mwanjelwa ametunukiwa na Rais wa Chuo cha United Graduate College & Seminary University, Prof Rivers mdigrii ya heshima ya Udaktari (PhD in Humanity),Katika sherehe iliyoudhuliwa na Dean of Students wa chuo hicho, Prof Ardenella Mich Pitz. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es salaam.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba hizi degree zina walakini kwani hawa jamaa wanaonekana matapeli na wameshtukiwa hivi karibuni nchini Kenya na hata State wanayotoka huko Marekani imeshasema kuwa haiwatambui. Tafadhali ingieni kwenye link hizi mujionee;
MBUNGE ATUNUKIWA DIGRII YA HESHIMA NA CHUO CHA MAREKANI - Global Publishers na YouTube - US commission disowns varsity
Inasikitisha sana viongozi wetu kuonekana wajinga hivi.
Hizi elimu ni shida
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom