Kwangu mimi nadhani mngeanza ku-address hilo. Kutia nia bila kulisemea hilo, kwangu mimi ni kupoteza muda. Kwa utawala huu watafanya kama walivyofanya Serikali za Mitaa au hata zaidi ya hapo.
Kama bila aibu Ndugai anafanya anayoyafanya Bungeni na hakuna wa kumkemea: executive, mahakama wanayabariki, unategemea nini kwenye keki tamu, keki ya Ubunge, Urais na udiwani pia?!!
Nina uhakika kama kuna uchaguzi wa huru na haki, CHADEMA itafanya vizuri sana.
Upinzani Utashinda lakini anatangazwa wa CCM/CUF/NCCR au polisi atakimbia na sanduku la kura, mawakala watazuiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura etc.
Tupeni majibu ya hili, vinginevyo it is a waste of time and your meager resources!
Kama bila aibu Ndugai anafanya anayoyafanya Bungeni na hakuna wa kumkemea: executive, mahakama wanayabariki, unategemea nini kwenye keki tamu, keki ya Ubunge, Urais na udiwani pia?!!
Nina uhakika kama kuna uchaguzi wa huru na haki, CHADEMA itafanya vizuri sana.
Upinzani Utashinda lakini anatangazwa wa CCM/CUF/NCCR au polisi atakimbia na sanduku la kura, mawakala watazuiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura etc.
Tupeni majibu ya hili, vinginevyo it is a waste of time and your meager resources!