Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuhYani MwanaCCm atakayepingana na maamuzi ya kumbeba Tulia atanyooshwa nje na ndani ya chama
Yeye mwenyewe siku akijifanya anatoka CCM au kuwatendea upinzani haki wananyooka naye. Hawezi kuonaMsajili wa vyama hili halioni?
Hii ni hatari kubwa!Yani MwanaCCm atakayepingana na maamuzi ya kumbeba Tulia atanyooshwa nje na ndani ya chama 🤣
Ndio siku Msajili atatimuliwa mithili ya mbwa aliyekunywa maziwa ya mtotoHalafu Msajili wa Vyama vya Siasa anashupalia Shaibu wa ACT kusema “kufa na kupona”. Nasubiri kusikia Msajili akikaripia vitisho vya kihalifu. Bila shaka mimi na wengine tutasubiri sana!!
Mbona ni kama sentensi mbili zinazokinzana? Watamtimua, lakini hakuna kukimbilia upinzani! Labda nitaelewa polepole... atakayesaliti kutimulia chama
... hakuna mtia nia wa CCM kukimbilia upinzani
Msajili wa Vyama kimyaa, IGP kimyaa. Hiki ni kikundi cha magaidi.Malipo ya usaliti ni kifo
Hahahahaha demokrasia ya CCM tamu sana/ nasubiri wadau wa Lumumba waseme nenoHakuna mtia nia wa CCM kukimbilia upinzani, ukishindwa kura za maoni. Ukitusaliti tutakufuata popote ulipo.
Mwaka huu huwezi kuharibu ushindi wa chama cha CCM ukabaki salama, tumepokea maagizo toka juu.
Tamuuuuuu hadi mwili unasisimka kwa raha! Mbeya hawataki upuuzi kabisa! Shukrani sana sana kwa Raisi wa Mbeya
Natamani wampitishe BetinaCCM wanajua Mbeya ni pagumu mpaka wamechanganyikiwa wanasema maneno yasiyoeleweka.
Kuna vyama viwili tu ninavyovijua ambavyo vina sheria kama hii ya kwamba ukishaingia hurusiwi kutoka maana usije kutoa siri za chama. Ni chama cha wachawi na nyinyiemuTusinyimane uhuru wa kufunga.( freedom of association) kwani kuhamia chama kingine ni haki ya msingi. Vitisho si utamaduni wa Tanzania au ndo CCM mpya
Sikubaliani na hoja hii mkuu, hasa wakati huu kuelekea kwenye uchaguzi.Mkuu ni mgeni kwenye Nchi hii? hujui tangu 2015 CCM ndio wameruhusiwa kufanya siasa peke yao? mara ngapi hata vikao vya ndani vya wapinzani vinavamiwa na Polisi....
Mbona unafanya ujazaji fomu kama mtihani wa chuo kikuu vile? Yaliyotokea kwa madiwani, hayakuwa kwamba wapinzani hawakujua kujaza fomu, bali ulifanyika ujangiri fulani hivi! Najua unajua!Ni hivi hivi, mchana kweupe, upinzani unaanza kuchimbwa na wao wakishangilia kama inavyoonekana hapa.
Ukiachana na hivyo vitisho vya kipuuzi, angalia hawa mnaowasema kila siku akina Popole wanavyochakarika na kazi ndani ya chama wakifanya mikakati kila mahala, hata ile isiyokuwa halali na ambayo haitangazwa na kushangiliwa humu kwa sasa hivi.
Wapinzani kuja kustuka, too late, wamekwishafungwa goli! Mambo ni yale yale ya siku zote, lakini hakuna funzo linalosomeka.
Hawa, akina Popole, wapo sana huku vijijini, viongozi wa mashina wanatogota kimya kimya, wapinzani ndio kwanza wanajionyesha mijini.
Akina Popole wakiwafunda wagomea wao kila mahali, na kuwapa mbinu za kujaza fomu, wagombea wa upinzani watajaza fomu kama hawajawahi kaa darasani'
Halafu wanapokatwa kwa sababu za kipuuzi kabisa, upinzani ndio wanalilia wananchi wawaonee huruma!
Haya tunayaandika sio kwa furaha, lakini uzembe unapotokea hakuna sababu ya kuvungavunga ukweli ulivyo.
Sasa hivi wengi tunakaza roho, endapo uchaguzi utafanyika na ukaonyesha unafuu wa kutosha kwamba uvurugaji haukuwa mkubwa kiasi cha kutisha, na Magufuli akishinda katika hali hiyo tutashangilia, sasa tufanyeje kama waTanzania ndivyo walivyoamua kutokana na uzembe wa watu kufanya kazi zao kwa weledi.
Tunasubiri tu, uchaguzi ufanyike katika hali nzuri ya kuridhisha, tutameza vidonge vichungu na maisha yataendelea.
Na safari hii, baada ya kuipoteza nafasi hii, itabidi tusubiri muujiza uzuie kuwa kama Rwanda au Uganda kikamilifu kabisa.
Mkuu 'Karungikana', sijui, ndio maana nimeandika nilichosikia kwamba kimetokea: kwamba "wapinzani walikosea katika ujazaji wa fomu."Mbona unafanya ujazaji fomu kama mtihani wa chuo kikuu vile? Yaliyotokea kwa madiwani, hayakuwa kwamba wapinzani hawakujua kujaza fomu, bali ulifanyika ujangiri fulani hivi! Najua unajua!