Watia nia CCM kuungana na kuwa makundi matano

Jamaa kweli artist anatumia vizuri ule usemi kwenye uzia penyeza rupia...
Ni ktk ile kauli ya jk nyerere rushwa hupofusha ...inawezekana tu akapita

Kuna Mtia-nia mtarajiwa mmoja kutoka mikoa ya kusini ambae bado hajajitangaza. Mpaka sasa wanavutana na MZEE sababu mtia nia mtarajiwa huyo anaamini kua yeye anaweza kuwapiku wenzake 33 waliotanglia sababu ya uswahiba wake na Mkulu hivyo hadhani kama dau lolote kutoka kwa Mzee laweza kumshawishi kuacha kuchukua. Huyu pia anapata kichwa kutoka kwa baadhi ya marafiki wa MZEE ambao wanaonekana kua double standard.

Kuchelewa kuchukua form kwa mtarajiwa huyo ni sababu ya negotiations zinazoendelea. Hutaki Unaacha
 
Last edited by a moderator:
Ina maana bado hamjaelewa kinachoendelea ndani ya ccm???? makundi ypo sana tu waliochukua fomu si wote wana nia ya kuongoza nchi hii wengine wamenunuliwa n mzee wa mamvi jamaa aliyeleta thread hii yuko sahihi kabisa asilimia miA
 
Sasa naona kwa takwimu wingi wa mazuzu humu yasiyoshirikisha vichwa vyao kazi yao kuona uzi na kuafiki poleeeeni sana hammo ndani
 
Kwa upande wangu nadhani naweza unga mkono kwa asilimia 50% lakini kwa upande mwingine mtu mpaka ameamua kuchukua fomu ama kutangaza nia ni wazi kuwa ameangalia changamoto zinazowakabili wananchi na kuona kuwa anaweza kufanya mabadiliko,wako wazuri waliotangaza nia ndan ya ccm na hakika ni wazuri mfano Ndg Makamba mimi sijaona kwakweli mgombea kutoka CCM aliyejieleza kama yeye ni wazi tukimpa nafasi anaweza
 
Imani kwamba money is all about itamponza EL kusoma upepo ni muhimu pia.Marsha alitaka kufa kwa BP 2010 kwa imani hiyo.
 
Tatizo la Lowasa anadhani pesa inafanya kila kitu lakini kamwe huwezi kuwanunua watanzania wote hilo lipo wazi kabisa.
 
Tatizo la Lowasa anadhani pesa inafanya kila kitu lakini kamwe huwezi kuwanunua watanzania wote hilo lipo wazi kabisa.


Nakuhakikishia kuna watu wanampenda Lowassa just kwa sbb wanaona km anaonewa vile, hakuna shilingi wamepewa!
 
Kwa upande wangu nadhani naweza unga mkono kwa asilimia 50% lakini kwa upande mwingine mtu mpaka ameamua kuchukua fomu ama kutangaza nia ni wazi kuwa ameangalia changamoto zinazowakabili wananchi na kuona kuwa anaweza kufanya mabadiliko,wako wazuri waliotangaza nia ndan ya ccm na hakika ni wazuri mfano Ndg Makamba mimi sijaona kwakweli mgombea kutoka CCM aliyejieleza kama yeye ni wazi tukimpa nafasi anaweza

kwa hyo wew kujieleza ndio kiongoz bora
 
Back
Top Bottom