inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 496
- 418
Da mimi kama mpenzi wa hip hop na mpenzi wa kundi la Wateule nilosikitishwa na performance yao mbovu pale jukwaani.
Mtu pekee aliyelitendea haki jukwaa ni Jaymoe, kwanza alikuwa anaimba bila play back halafu alikuwa anajaribu kumaliza nyimbo ila Mox alikuwa anamuingilia ingilia na kuharibu performance yake.
Jafarai yeye ndo alichemka mpaka basi ikabidi ikifika zamu yake wawe wanakata tu.
Mox ndo hovyo kabisa alishindwa kuimba. Yaani bila Jay Moe,Wateule wangedharirika vibaya mno.
Sasa nimeamini kwanini Jaymoe aliamua kwenda solo,hawa jamaa wanamyeyusha.
Mtu pekee aliyelitendea haki jukwaa ni Jaymoe, kwanza alikuwa anaimba bila play back halafu alikuwa anajaribu kumaliza nyimbo ila Mox alikuwa anamuingilia ingilia na kuharibu performance yake.
Jafarai yeye ndo alichemka mpaka basi ikabidi ikifika zamu yake wawe wanakata tu.
Mox ndo hovyo kabisa alishindwa kuimba. Yaani bila Jay Moe,Wateule wangedharirika vibaya mno.
Sasa nimeamini kwanini Jaymoe aliamua kwenda solo,hawa jamaa wanamyeyusha.