JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
Kumekuwa na watu mbali mbali hap JF wakimueleze Mh. Lowasa kuwa ni Jasiri, Mchapakazi na Mwenye upeo kufananisha na waliopo sasa.
mimi nasema mtazamo huo unatokana na mfumo wa CCM uliopo ambao hauwapi watu wengine kuonyesha uwezo na ufanisi wao bali unawaacha walewale kutokea uhuru pamaoja na watoto na wajuu wao. hivyo basi ndo maana wengi wanaona katika lili kundi la wanaoongoza Lowasa ndio anafaa. kwa hilo sipingani nao.
Ila ukweli ni kwamba viongozi wote walioko CCM kwa sasa hawafai kwasababu wote wanamapungufu makubwa ya kiungozi na kimaadili kiasi kwamba ni bora wapishe waje watu wenye uwezo wa kuongoza nchi.
kwa mantiki hiyo kashfa ya Lowassa ndiyo inayowapa wakati mgumu wa kumuona kama ni mtendaji mzuri maana hata waswahili wanasema huwezi mkabidhi fisi akulindie bucha.
mimi nasema mtazamo huo unatokana na mfumo wa CCM uliopo ambao hauwapi watu wengine kuonyesha uwezo na ufanisi wao bali unawaacha walewale kutokea uhuru pamaoja na watoto na wajuu wao. hivyo basi ndo maana wengi wanaona katika lili kundi la wanaoongoza Lowasa ndio anafaa. kwa hilo sipingani nao.
Ila ukweli ni kwamba viongozi wote walioko CCM kwa sasa hawafai kwasababu wote wanamapungufu makubwa ya kiungozi na kimaadili kiasi kwamba ni bora wapishe waje watu wenye uwezo wa kuongoza nchi.
kwa mantiki hiyo kashfa ya Lowassa ndiyo inayowapa wakati mgumu wa kumuona kama ni mtendaji mzuri maana hata waswahili wanasema huwezi mkabidhi fisi akulindie bucha.