Tafadhari usijisumbue kujibu threads za wana-magamba(aka wana mabwepande) kwa kuwa wenzenu hao hawatetei chama chao ila wako field. Hebu soma sms hii inayopeperushwa katika simu za mkononi. Nawe kama ulikuwa hujaipata inukuu kisha isambaze kama moto wa kiangazi kwa wazalendo wa nchi hii wataka mabadiliko:
UFISADI TRAINING COLLEGE
Chuo kinakutangazia nafasi za kozi zifuatazo kwa
mwaka wa masomo 2010-2015:-
na ukishamaliza kozi utaajiriwa RICHMOND au DOWANS.
CHUO kimetoa wahitimu wengi kama EL, Kara-magi, RA, AC, Chikwete, orodha
ni ndefu.
FOMUzinapatikana Ofisi zote za CCM, Ikulu, BOT na TRA.
WAHI sasa nafasi ni chache.
Kwa kweli, maswahiba na watetezi wa CCM wako field.
UFISADI TRAINING COLLEGE
Chuo kinakutangazia nafasi za kozi zifuatazo kwa
mwaka wa masomo 2010-2015:-
- Wizi wa Kura
- Utumiaji wa Vyeti Feki ili Kuitwa Daktari
- Kulipa Mishahara Hewa
- Kuanzisha Makampuni Hewa
- Kuiba Misaada na Michango ya Waathirika
na ukishamaliza kozi utaajiriwa RICHMOND au DOWANS.
CHUO kimetoa wahitimu wengi kama EL, Kara-magi, RA, AC, Chikwete, orodha
ni ndefu.
FOMUzinapatikana Ofisi zote za CCM, Ikulu, BOT na TRA.
WAHI sasa nafasi ni chache.
Kwa kweli, maswahiba na watetezi wa CCM wako field.