Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Watu watatu wanaotuhumiwa kumteka na kumtesa mhariri mkuu wa New Habari Corporation,Absalom Kibanda wamekatwa na jeshi la polisi nchini.
Kamishina wa Upelelezi wa makosa ya Jinai nchini(DCI),Isaya Mngulu amesema upelelezi unaendelea kwani bado wanakusanya ushahidi wa kutosha wa kuwahusisha watuhumiwa hao na tukio hilo kabla ya kuwafikisha mahakamani.
Kwa taarifa zaidi visit:www.ippmedia.com. Then chagua kiswahili.
CHANZO: NIPASHE.
Kamishina wa Upelelezi wa makosa ya Jinai nchini(DCI),Isaya Mngulu amesema upelelezi unaendelea kwani bado wanakusanya ushahidi wa kutosha wa kuwahusisha watuhumiwa hao na tukio hilo kabla ya kuwafikisha mahakamani.
Kwa taarifa zaidi visit:www.ippmedia.com. Then chagua kiswahili.
CHANZO: NIPASHE.