Naomba nieleweshwe jamani, najua penye wengi hakiharibiki jambo.
Hivi kuna athari gani kwa kutumia maji ya kunywa yaliyokuwa treated na waterguard. Kimsingi wasiwasi wangu ni kwamba hii hii waterguard ukilowekea ngua nyeupe yenye madoa sugu yanaondoka. sasa napata utata kama inaweza kuondoa madoa kwa kasi kama jiki je huko tumboni nikinywa maji haya inakuwaje?
Hivi kuna athari gani kwa kutumia maji ya kunywa yaliyokuwa treated na waterguard. Kimsingi wasiwasi wangu ni kwamba hii hii waterguard ukilowekea ngua nyeupe yenye madoa sugu yanaondoka. sasa napata utata kama inaweza kuondoa madoa kwa kasi kama jiki je huko tumboni nikinywa maji haya inakuwaje?