Watendaji wakuu wa ACT Wazalendo mnachomfanyia Zitto Kabwe siyo kitu kizuri, Pia Magufuli anakosea

Sisi ACT tukipata fursa ya kueatumikia wananchi tunawatumikia kea kwenda mbele . Aidha, tunakuwa viongozi wa mfano ili wengine waige.
Tatizo la Nchi hii ni mshahara. Aki mama mghwira na kitila wameona mshahara ulio mbele yao wakaona liwalo na liwe. Nitaendelea kumuheshimu ZZK kwanza kama mpiganaji aliyeweza kuunda chama na nadani ya muda mfupi akachaguliwa kuwa mbunge,ana sifa za pekee kijana yule.
 
ACT kila mtu kachukuliwa kitila mkumbo katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji, mrando kachukuliwa na giggy, anna mnghwira mkuu wa mkoa bado zitto kabwe waziri wa nishati na madini kwisha
 
Mbona Mbowe kaSex na Wema Sepetu bila ya kuomba ruhusa kutoka kwa Mke wake wa ndoa? Tena mtoto wa Muanzilishi wa chadema Mzee Mtei, kuna usaliti zaidi ya huo Dunia hii? Hivyo ziba kwanza Paa la nyumba yako kwanza kabla ya kuhamia kwa jirani!

Acha utoto
 
Comment za manyumbu ndo hunifanya sometime naona upinzani ni ujinga tu kwa tz yetu,yaani kumhukumu zzk bila hata ya kufanya kauchunguzi kidogo ni upunguani,na hii yote ni chuki za manyumbu.
 
Nafuatilia kipindi channel 10 kuhusu uteuzi wa mama mghwira kuna ukakac tena wakuua chama cha act,zitto ajitafakar
 
Hapa ndipo nashindwa kuelewa sisi tunataka nini,,,Ni nchi yetu au vyama vyetu!!?
Mtu kateuliwa kuwatumikia watu wa taifa lake cha ajabu inaonekana alipaswa kutumikia chama chake (ACT),nini maana ya vyama kama malengo sio kutumikia wananchi!!?

Binafsi,naona hiki ni kipimo tosha kwa mama Anna,alitaka Urais...anatakiwa asishindwe kuongoza mkoa,Basi


Ni vizuri kushangaa kuliko kuzubaa
 
Pathetic Comment! people are discussing the future of Multiparty Democracy and heart of the nation, you bring in story za udaku!
Kuna tofauti kubwa sana hapa, mtu kama Mghwira, aliyepita kutushawishi na kutuhaminisha kuwa yeye na chama chake ndio waliokuwa na sera nzuri ambazo zingeweza kuibadilisha Tanzania na kutuletea neema ya maendeleo, leo anamtumikia yule ambaye hakuwa na sera na mipango mizuri? Nachoka kabisa!

Mbona Mbowe kaSex na Wema Sepetu bila ya kuomba ruhusa kutoka kwa Mke wake wa ndoa? Tena mtoto wa Muanzilishi wa chadema Mzee Mtei, kuna usaliti zaidi ya huo Dunia hii? Hivyo ziba kwanza Paa la nyumba yako kwanza kabla ya kuhamia kwa jirani!
 
Zipo tetesi kwamba hata yeye alitakiwa apewe uwaziri , mgogoro umetokea kwa vile anataka wizara ya fedha , sasa ccm imekuja juu , lakini mazungumzo bado yanaendelea .

Nitamwaga mboga hapa hapa jf kwa kadiri nzi wangu atakavyokuwa ananipa taarifa .
Nitakuwa ni kweli
 
Mama Mghwira alimkabidhi Mh Magufuri Ilani ya Uchaguzi ya ACT.
Mh Magufuri ameridhika nayo na kuona inafaa.
Amemteua akamsaidie kuwahudumia wananchi.
 
Kumekuwa na taarifa kuwa viongozi na watendaji wakuu wa ACT Wazalendo wanapewa nafasi za kiutendaji huku wao wenyewe wakiwa tayari kutumikia nafasi hizo na kuahidi ushirikiano kwa rais Magufuli bila hata ya kiongozi wao mkuu ndugu Zitto Kabwe kupewa taarifa za awali.

Pia rais Magufuli anakosea sana kuwasiliana na viongozi wa ACT Wazalendo na hatimaye kuwapa nyadhifa mbalimbali za kiutendaji bila hata ya kuomba ushauri na mapendekezo kwa kiongozi mkuu wa chama hicho ndugu Zitto Kabwe.

Kumteua mwenyekiti wa chama cha siasa ambacho kinapinga sera za chama tawala kwenda kuwa msimamizi mkuu wa ilani ya chama tawala na kupokea maelekezo ya kiutendaji kutoka kwa mwenyekiti mwenzake wa chama kingine cha siasa ni kitendo cha kudhoofisha siasa za vyama. Rais Magufuli ameonyesha kuwa ACT Wazalendo sii chochote mbele yake na ndiyo maana anajichagulia tu anayemtaka ndani ya chama hicho. Huu ni mtego ambao rais Magufuli anautumia kufuta demokrasia ya vyama vingi nchini. Hivi kweli inaingia akilini kwa mwenyekiti wa chama cha upinzani kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na hatimaye akasimamie na kuhakikisha utekelezaji wa ilani ya chama tawala ili kukizidishia sifa chama hicho? Mwenyekiti huyo wa chama cha siasa ni pandikizi? Chama cha upinzani kinakuwa na mwenyekiti pandikizi!

Naamini kuwa hata Zitto anaelewa kuwa mama Mghwira hakustahili hata kusubiri kamati kuu ili wajadili uteuzi huo. Alitakiwa kuukataa palepale kutokana na hali halisi ilivyo.
Hakika umenena mkuu
 
Kwa jinsi unavyolalama humu unadhihirisha kuwa ulikuwa na mahusiano ya kingono na Mbowe. Na kitendo hicho kinakuumiza sana. Ni kweli nyumba ndogo ikiongezewa mwenzake inaumia sana kwani kipato kitagawanyika sehemu tatu. Yaani kwa make, wewe na huyo unayemlalamikia.
Pole sana kwa yaliyokukuta! Ukimpata mwingine na au akikurudia ongeza mautundu na maufundi kunako eneo la shughuli. Akili za mchanga wewe!
Mbona Mbowe kaSex na Wema Sepetu bila ya kuomba ruhusa kutoka kwa Mke wake wa ndoa? Tena mtoto wa Muanzilishi wa chadema Mzee Mtei, kuna usaliti zaidi ya huo Dunia hii? Hivyo ziba kwanza Paa la nyumba yako kwanza kabla ya kuhamia kwa jirani!
 
Kumekuwa na taarifa kuwa viongozi na watendaji wakuu wa ACT Wazalendo wanapewa nafasi za kiutendaji huku wao wenyewe wakiwa tayari kutumikia nafasi hizo na kuahidi ushirikiano kwa rais Magufuli bila hata ya kiongozi wao mkuu ndugu Zitto Kabwe kupewa taarifa za awali.

Pia rais Magufuli anakosea sana kuwasiliana na viongozi wa ACT Wazalendo na hatimaye kuwapa nyadhifa mbalimbali za kiutendaji bila hata ya kuomba ushauri na mapendekezo kwa kiongozi mkuu wa chama hicho ndugu Zitto Kabwe.

Kumteua mwenyekiti wa chama cha siasa ambacho kinapinga sera za chama tawala kwenda kuwa msimamizi mkuu wa ilani ya chama tawala na kupokea maelekezo ya kiutendaji kutoka kwa mwenyekiti mwenzake wa chama kingine cha siasa ni kitendo cha kudhoofisha siasa za vyama. Rais Magufuli ameonyesha kuwa ACT Wazalendo sii chochote mbele yake na ndiyo maana anajichagulia tu anayemtaka ndani ya chama hicho. Huu ni mtego ambao rais Magufuli anautumia kufuta demokrasia ya vyama vingi nchini. Hivi kweli inaingia akilini kwa mwenyekiti wa chama cha upinzani kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na hatimaye akasimamie na kuhakikisha utekelezaji wa ilani ya chama tawala ili kukizidishia sifa chama hicho? Mwenyekiti huyo wa chama cha siasa ni pandikizi? Chama cha upinzani kinakuwa na mwenyekiti pandikizi!

Naamini kuwa hata Zitto anaelewa kuwa mama Mghwira hakustahili hata kusubiri kamati kuu ili wajadili uteuzi huo. Alitakiwa kuukataa palepale kutokana na hali halisi ilivyo.

Swali: hapo Rais analaumiwa vipi? kwani huu uteuzi huwa ni wa lazma ukikataa unafungwa jela?
 
Akimaliza Act anahamia chadema,time will tell naamini hakuna asiependa madaraka hata bwana mbatia alivyoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu hakukaidi enzi zile za jk nani atakataa madaraka kwa maisha haya??? Muda unakuja
 
Akimaliza Act anahamia chadema,time will tell naamini hakuna asiependa madaraka hata bwana mbatia alivyoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu hakukaidi enzi zile za jk nani atakataa madaraka kwa maisha haya??? Muda unakuja
Mkuu ubunge tofauti sana na u RC au u DC ubunge bado unatekeleza ilani ya chama chako nadhani unakumbuka cheche za Mbatia kwenye ukawa,huyu RC ni 100%lazima atete Sera za chama tawala.hii ndio shida ya tumbo.
 
Back
Top Bottom