Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,046
- 1,867
Huoni wanajenga viwandaHiyo ilani yenyewe inatekelezeka kweli kwa mambo yalivyo kwa sasa
Huoni wanajenga viwandaHiyo ilani yenyewe inatekelezeka kweli kwa mambo yalivyo kwa sasa
Nakuunga mkono kwa 100%dah inasikitisha sana lakn nilichogundua pale akuna upinzan kwenye kile chama ni branch 2 ya chama tawala ata ilani zao nafkir znaweza kuwa zinafana 2
Lete Lete mkuu tujue wasaliti na wanao kwamisha juhudi za wapinzani wa kweliZipo tetesi kwamba hata yeye alitakiwa apewe uwaziri , mgogoro umetokea kwa vile anataka wizara ya fedha , sasa ccm imekuja juu , lakini mazungumzo bado yanaendelea .
Nitamwaga mboga hapa hapa jf kwa kadiri nzi wangu atakavyokuwa ananipa taarifa .
Njaa mbaya mno sioombee au kutokuwa na misimamo kwenye chama husikaKumekuwa na taarifa kuwa viongozi na watendaji wakuu wa ACT Wazalendo wanapewa nafasi za kiutendaji huku wao wenyewe wakiwa tayari kutumikia nafasi hizo na kuahidi ushirikiano kwa rais Magufuli bila hata ya kiongozi wao mkuu ndugu Zitto Kabwe kupewa taarifa za awali.
Pia rais Magufuli anakosea sana kuwasiliana na viongozi wa ACT Wazalendo na hatimaye kuwapa nyadhifa mbalimbali za kiutendaji bila hata ya kuomba ushauri na mapendekezo kwa kiongozi mkuu wa chama hicho ndugu Zitto Kabwe.
Kumteua mwenyekiti wa chama cha siasa ambacho kinapinga sera za chama tawala kwenda kuwa msimamizi mkuu wa ilani ya chama tawala na kupokea maelekezo ya kiutendaji kutoka kwa mwenyekiti mwenzake wa chama kingine cha siasa ni kitendo cha kudhoofisha siasa za vyama. Rais Magufuli ameonyesha kuwa ACT Wazalendo sii chochote mbele yake na ndiyo maana anajichagulia tu anayemtaka ndani ya chama hicho. Huu ni mtego ambao rais Magufuli anautumia kufuta demokrasia ya vyama vingi nchini. Hivi kweli inaingia akilini kwa mwenyekiti wa chama cha upinzani kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na hatimaye akasimamie na kuhakikisha utekelezaji wa ilani ya chama tawala ili kukizidishia sifa chama hicho? Mwenyekiti huyo wa chama cha siasa ni pandikizi? Chama cha upinzani kinakuwa na mwenyekiti pandikizi!
Naamini kuwa hata Zitto anaelewa kuwa mama Mghwira hakustahili hata kusubiri kamati kuu ili wajadili uteuzi huo. Alitakiwa kuukataa palepale kutokana na hali halisi ilivyo.
Act ni jeshinla reserve la ccm!sasa wengine wanaona kama ACT ni ccm B, wakati Magu anaiua live!!
Mbona Mbowe kaSex na Wema Sepetu bila ya kuomba ruhusa kutoka kwa Mke wake wa ndoa? Tena mtoto wa Muanzilishi wa chadema Mzee Mtei, kuna usaliti zaidi ya huo Dunia hii? Hivyo ziba kwanza Paa la nyumba yako kwanza kabla ya kuhamia kwa jirani!
Pole sana mkuu Mcubic usikate tamaa ipo siku Mungu atakufuta machoziBora wewe umeangalia kwa jicho lingine.
Huyu jamaa kama sio mwanamke basi atakuwa na wivu wa kike mkuu@BruceLeeulikuepo wakati ana sex nae? au uliwaona wakati wanafanya hilo tendo la ndoa? bila shaka utakua mpiga chabo mzoezi wa kiwango cha kibashite
Hana ujanja wa kugoma, yule hats wakimpa uwaziri wa Kanda maalum ya Mwanza, Geita na Chato harembi, anauchukua faster tu.Zipo tetesi kwamba hata yeye alitakiwa apewe uwaziri , mgogoro umetokea kwa vile anataka wizara ya fedha , sasa ccm imekuja juu , lakini mazungumzo bado yanaendelea .
Nitamwaga mboga hapa hapa jf kwa kadiri nzi wangu atakavyokuwa ananipa taarifa .
Watumishi wote wa umma ndio wanatimiza ilani ila sio viongozi woteViongozi wote nchini wanatimiza ilani ya chama chenye dola that is CCM. Uwe mbunge, Waziri, RC, DC, mkurugenzi wote wanafanyia Kazi ilani ya CCM