Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Idara zifuatazo hawajirekebishi na hawajifunzi,
1 Mazingira
2. Mipango miji
3 Ujenzi
4 Mipango na Uchumi
Ni idara ambazo kulindana kumezidi huku wananchi wakila shida za uhakika. Sisi wananchi tumemwelewa sana raisi wetu na tutamsaidia kwa kila hari. Kulindana kwenu na kujuana kunatakiwa kukoma mara moja ama sivyo tutawashitaki wazi wazi kwa mwajiri wenu mkuu mh. JPM
Tend a zenu, mipango miji yenu, usafi mjini, ujenzi wenu, kusuasua kurasimisha njia za mapato na mihanya inayoachwa makusudi ili watu fulani fulani wale yanatakiwa kukoma. Hii ni rai yetu kwenu, badilikeni mapema
1 Mazingira
2. Mipango miji
3 Ujenzi
4 Mipango na Uchumi
Ni idara ambazo kulindana kumezidi huku wananchi wakila shida za uhakika. Sisi wananchi tumemwelewa sana raisi wetu na tutamsaidia kwa kila hari. Kulindana kwenu na kujuana kunatakiwa kukoma mara moja ama sivyo tutawashitaki wazi wazi kwa mwajiri wenu mkuu mh. JPM
Tend a zenu, mipango miji yenu, usafi mjini, ujenzi wenu, kusuasua kurasimisha njia za mapato na mihanya inayoachwa makusudi ili watu fulani fulani wale yanatakiwa kukoma. Hii ni rai yetu kwenu, badilikeni mapema