Kwani mafisadi wanaoiba mchana kweupe wanachukuliwa hatua gani? Zaidi zaidi ndo wanapewa hundi za 25mil. za uongozi uliotukuka, wewe jua tu Tz ni shamba la bibi mwenye meno anaingia anakula akishiba anabeba na vingine anaondoka navyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.