The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,380
- 1,758
Leo jamhuri ya Kenya imezindua ujenzi wa moja ya bandari kubwa barani Afrika.
Sote tunajua udhaifu wa bandari yetu,iliyojaa urasimu,wizi wa vifaa nk.....Kwa mtindo huo ipo haja ya kuifanyia marekebisho makubwa bandari hiyo,kiutariwala,utendaji na mfumo ili kuondokana na kero nyingi zilizopo sasa vinginevyo ujio wa bandari hiyo ya majirani zetu bandari yetu itakimbiwa na wengi na hivyo serikali itakosa mapato na kudunisha huduma za jamii na hatimaye itakuwa kama ya kule Tanga.TUNAHITAJI WATENDAJI WABUNIFU,WALIO SAFI NA WACHAPAKAZI ILI KUIONDOA KTK HALI ILIYOPO SASA......TANZANIA NI YETU NA TUTAIJENGA KWA NGUVU ZETU
Sote tunajua udhaifu wa bandari yetu,iliyojaa urasimu,wizi wa vifaa nk.....Kwa mtindo huo ipo haja ya kuifanyia marekebisho makubwa bandari hiyo,kiutariwala,utendaji na mfumo ili kuondokana na kero nyingi zilizopo sasa vinginevyo ujio wa bandari hiyo ya majirani zetu bandari yetu itakimbiwa na wengi na hivyo serikali itakosa mapato na kudunisha huduma za jamii na hatimaye itakuwa kama ya kule Tanga.TUNAHITAJI WATENDAJI WABUNIFU,WALIO SAFI NA WACHAPAKAZI ILI KUIONDOA KTK HALI ILIYOPO SASA......TANZANIA NI YETU NA TUTAIJENGA KWA NGUVU ZETU