Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,510
- 3,332
Watekaji magaidi ambao wengi wao ni Fulani waliowateka wasichana wanafunzi katika shule ya boarding kaskazini mwa Nigeria wamewaachia huru wanafunzi wote haraka sana bila hata kuwadhuru wala kuwadhalilisha. Kilichowasaidia awa mabinti wote walikuwa Waislamu.
Pia miezi michache iliyopita hawa magaidi waliwateka wavulana wanafunzi huko kaskazini mwa Nigeria na kuwaachia huru bila kuwadhuru. Imani yao iliwasaidia.
Ila cha kuhuzunisha 2013 magaidi yalivamia shule ya bweni ya wavulana kwenye mji wa joz central Nigeria na kuwachoma na kuwachinja wanafunzi zaidi ya mia mbili bwenini kwasababu walikuwa wakristo.
2014 magaidi waliwateka wasichana wanafunzi wakikristo na kuwabaka na kuwalazimisha wabadili dini yao ya kweli lakini hakuna hata muislamu mmoja aliyeandamana wala kupinga ukatili huu. Hii inaonyesha ndugu zetu upande wa pili wanaridhia kabisa unyama huu. Wengine wanaenda mbali na kutetea dini inaruhusu.
Pia miezi michache iliyopita hawa magaidi waliwateka wavulana wanafunzi huko kaskazini mwa Nigeria na kuwaachia huru bila kuwadhuru. Imani yao iliwasaidia.
Ila cha kuhuzunisha 2013 magaidi yalivamia shule ya bweni ya wavulana kwenye mji wa joz central Nigeria na kuwachoma na kuwachinja wanafunzi zaidi ya mia mbili bwenini kwasababu walikuwa wakristo.
2014 magaidi waliwateka wasichana wanafunzi wakikristo na kuwabaka na kuwalazimisha wabadili dini yao ya kweli lakini hakuna hata muislamu mmoja aliyeandamana wala kupinga ukatili huu. Hii inaonyesha ndugu zetu upande wa pili wanaridhia kabisa unyama huu. Wengine wanaenda mbali na kutetea dini inaruhusu.