barqis
Member
- Jun 3, 2017
- 28
- 22
Madalali wa Dodoma tu ndio njaa kubwa wanayo,unakuta nyumba inapangishwa kwa shs 200k yeye anataka apangishe kwa 300-250k anakuongezea hicho cha juu anakipiga yeye kama ndiye mwenye nyumba kisa "tension ya kuhamisha makao ya nchi"Sasa hivi madalali wamekuwa wapole sana