PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 376
- 735
Hili litanesco la huku Jamii forum ni li zuzu tu halina msaada wowote. Li bwege tu hiliTafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
Hili litanesco la huku Jamii forum ni li zuzu tu halina msaada wowote. Li bwege tu hiliTafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
Tanesco washenzi Sana,nilienda leo mikocheni, wanasema wanawaunganishia wa December 15/2021,Kwanza Mhe.Rais Pole na.majukumu, kwa masikitiko makubwa naomba niwasilishe kilio changu kwa niaba ya Wahanga wenzangu tuliokutwa na janga hili..
Asilimia kubwa ya wateja tulio lipia kuunganishiwa umeme kwa ile bei ya awali 27 K wengi hatujapata huduma hii ya umeme, tukifuatlia ktk ofisi za tanesco , danadana zinakuwa nyingi mara nguzo hamna, mara tuna wawekea wateja walio omba mwezi wa 8 yaan sababu ni nyingi na hamna mashiko
Pia tukumbuke Serikali yako.ilitoa tamko kuielekeza tanesco mpaka kufikia March 30 ,2022 wale wateja wote waliolipia 27 K wawe wameunganishiwa umeme lakini utekwlezaji wa maelekezo haya ni HOLAAA
Binafsi niliomba na kulipia huduma ya kuunganishiwa umeme tangia mwanzoni mwa december 2021 lakin mpaka leo sijapata iyo huduma yaan ni takriban miezi 5 sasa
Tusaidie mamaaa, sema neno tu na roho zetu zitatuliaaaa, ukitoka ughaibuni walau utoe kauli mamaaa
We kula kulala huna unalolijua binti,Elfu 27 haistoshi hata kufanya promotion ya loyal Tour hivyo tuna deal na wale walio lipia bei mpya
Mimi tangu October 2021 sioni lolote linaloendelea cha ajabu niliolipa nao wameshawekewa tangu mwezi wa November 2021 na umeme upo kwa jirani yangu.Tafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
Ni shida na wana ubaguzi sana kama hujulikani utaula wa chuya.Tanesco washenzi Sana,nilienda leo mikocheni, wanasema wanawaunganishia wa December 15/2021,
wakitoka hapo wanakuja waliolipia Tarehe 16/2021 Hadi 05/January 2022,
Cha ajabu sasa kuna watu wanawapa rushwa hao mafundi anaenda kulipia leo baada siku mbili anafungiwa umeme,
Lazima ajiongeze HahahaNakushauri jiongeze watafute wale emergency team wa eneo lako ujiongeze kwao.. Ukikaza utamaliza mwaka gizani
Mi wa bei mpya mbona naambiwa vifaa hakuna niendelee kusubiri tu..Inauma sana mkuu.Elfu 27 haistoshi hata kufanya promotion ya loyal Tour hivyo tuna deal na wale walio lipia bei mpya
admin poleni na kazi.Tafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
jamaa juzi kawekewa,nahisi wanaangalia kama nyenzo zote zipo kama nguzo nk.Ukweli ni kuwa umeme sh 27000 haupo
Vipi keshatamka?Kwanza Mhe.Rais Pole na.majukumu, kwa masikitiko makubwa naomba niwasilishe kilio changu kwa niaba ya Wahanga wenzangu tuliokutwa na janga hili..
Asilimia kubwa ya wateja tulio lipia kuunganishiwa umeme kwa ile bei ya awali 27 K wengi hatujapata huduma hii ya umeme, tukifuatlia ktk ofisi za tanesco , danadana zinakuwa nyingi mara nguzo hamna, mara tuna wawekea wateja walio omba mwezi wa 8 yaan sababu ni nyingi na hamna mashiko
Pia tukumbuke Serikali yako.ilitoa tamko kuielekeza tanesco mpaka kufikia March 30 ,2022 wale wateja wote waliolipia 27 K wawe wameunganishiwa umeme lakini utekwlezaji wa maelekezo haya ni HOLAAA
Binafsi niliomba na kulipia huduma ya kuunganishiwa umeme tangia mwanzoni mwa december 2021 lakin mpaka leo sijapata iyo huduma yaan ni takriban miezi 5 sasa
Tusaidie mamaaa, sema neno tu na roho zetu zitatuliaaaa, ukitoka ughaibuni walau utoe kauli mamaaa