Wateja tuliolipia 27,000 Tanesco mpaka leo tunazungushwa

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Kwanza Mhe.Rais Pole na.majukumu, kwa masikitiko makubwa naomba niwasilishe kilio changu kwa niaba ya Wahanga wenzangu tuliokutwa na janga hili..

Asilimia kubwa ya wateja tulio lipia kuunganishiwa umeme kwa ile bei ya awali 27 K wengi hatujapata huduma hii ya umeme, tukifuatlia ktk ofisi za tanesco , danadana zinakuwa nyingi mara nguzo hamna, mara tuna wawekea wateja walio omba mwezi wa 8 yaan sababu ni nyingi na hamna mashiko

Pia tukumbuke Serikali yako.ilitoa tamko kuielekeza tanesco mpaka kufikia March 30 ,2022 wale wateja wote waliolipia 27 K wawe wameunganishiwa umeme lakini utekwlezaji wa maelekezo haya ni HOLAAA

Binafsi niliomba na kulipia huduma ya kuunganishiwa umeme tangia mwanzoni mwa december 2021 lakin mpaka leo sijapata iyo huduma yaan ni takriban miezi 5 sasa


Tusaidie mamaaa, sema neno tu na roho zetu zitatuliaaaa, ukitoka ughaibuni walau utoe kauli mamaaa
 
Wanawapiga danadana kwasababu wale ambao wameunganishiwa kwa bei hiyo sasa hivi wanakiona cha moto kwenye ununuzi wa luku kuna mmoja amenunua umeme wa 1000 umekataa amewapigia simu mpaka ameenda ofisini kwao wamemwambia aweke 13000 ndio atapata umeme wa 1000 , kwamaana kuna compasation hapo inafanyika kufidia bei mpya ..... mama anaupiga mwingi yereeeewiii.
 
Hivi kuna watu wanaamini kupata msaada kwa mtindo huu?tena kwa serkali hii?
Pole sana,elimu yakutambua nyakati na majira imewapita wengi.
 
Jikusanyeni wote mtafute wakili mfungue kesi ya madai dhidi ya Tanesco mkiwadai wawape umeme au wawalipe fidia kwa kitendo chao hicho cha kuvunja mkataba.
 
Kwanza Mhe.Rais Pole na.majukumu, kwa masikitiko makubwa naomba niwasilishe kilio changu kwa niaba ya Wahanga wenzangu tuliokutwa na janga hili..

Asilimia kubwa ya wateja tulio lipia kuunganishiwa umeme kwa ile bei ya awali 27 K wengi hatujapata huduma hii ya umeme, tukifuatlia ktk ofisi za tanesco , danadana zinakuwa nyingi mara nguzo hamna, mara tuna wawekea wateja walio omba mwezi wa 8 yaan sababu ni nyingi na hamna mashiko

Pia tukumbuke Serikali yako.ilitoa tamko kuielekeza tanesco mpaka kufikia March 30 ,2022 wale wateja wote waliolipia 27 K wawe wameunganishiwa umeme lakini utekwlezaji wa maelekezo haya ni HOLAAA

Binafsi niliomba na kulipia huduma ya kuunganishiwa umeme tangia mwanzoni mwa december 2021 lakin mpaka leo sijapata iyo huduma yaan ni takriban miezi 5 sasa


Tusaidie mamaaa, sema neno tu na roho zetu zitatuliaaaa, ukitoka ughaibuni walau utoe kauli mamaaa
Nakushauri jiongeze watafute wale emergency team wa eneo lako ujiongeze kwao.. Ukikaza utamaliza mwaka gizani
 
Wanawapiga danadana kwasababu wale ambao wameunganishiwa kwa bei hiyo sasa hivi wanakiona cha moto kwenye ununuzi wa luku kuna mmoja amenunua umeme wa 1000 umekataa amewapigia simu mpaka ameenda ofisini kwao wamemwambia aweke 13000 ndio atapata umeme wa 1000 , kwamaana kuna compasation hapo inafanyika kufidia bei mpya ..... mama anaupiga mwingi yereeeewiii.
Sasa huo mbona ni utaratibu wa miaka yote ?!!kwani wanapokuwekea mita , huwa wanakukopesha units, zitakapoisha lazima uende ofisini kwao, ukanunulie hapo ili wakate deni lao na kuifungua mita hiyo, au wewe ni mgeni na hilo?
 
kuna wale tulio atach mavyeti tukasome ufundi VETA bure mpk leo hatujaitwa na hatuelewi walituona boyas au
 
Kwanza Mhe.Rais Pole na.majukumu, kwa masikitiko makubwa naomba niwasilishe kilio changu kwa niaba ya Wahanga wenzangu tuliokutwa na janga hili..

Asilimia kubwa ya wateja tulio lipia kuunganishiwa umeme kwa ile bei ya awali 27 K wengi hatujapata huduma hii ya umeme, tukifuatlia ktk ofisi za tanesco , danadana zinakuwa nyingi mara nguzo hamna, mara tuna wawekea wateja walio omba mwezi wa 8 yaan sababu ni nyingi na hamna mashiko

Pia tukumbuke Serikali yako.ilitoa tamko kuielekeza tanesco mpaka kufikia March 30 ,2022 wale wateja wote waliolipia 27 K wawe wameunganishiwa umeme lakini utekwlezaji wa maelekezo haya ni HOLAAA

Binafsi niliomba na kulipia huduma ya kuunganishiwa umeme tangia mwanzoni mwa december 2021 lakin mpaka leo sijapata iyo huduma yaan ni takriban miezi 5 sasa


Tusaidie mamaaa, sema neno tu na roho zetu zitatuliaaaa, ukitoka ughaibuni walau utoe kauli mamaaa
Tafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
 
Tafadhali onesha umelipia lini? Wilaya na namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
Nyie hamna hatua yoyote mnayo chukua zaid zaid ya isumbufu tu

Nililipia december3, 2021

Wilaya ya Kibaha Tc
 
Hivi ile App yao ya "Ni-konekt" ni real au scam?

Binafsi nina nyumba mpakani mwa mikoa miwili,

Mkoa ilipo nyumba nguzo za umeme ni 2Km away ila upande wa mkoa jirani umeme upo 150M toka kwenye ile nyumba.

Cha kusikitisha naambiwa et wenye wajibu wa kuniuganishia umeme ni wale wa mkoa nilipo.

Sijui umeme utatolewa 2Km mkoani kwangu au 150M mkoa jirani.

Kwa nini TANESCO wenyewe wasiwe wanafanya mawasiliono tu ya kiofisi kati ya mkoa na mkoa kwenye cases kama hizi.

Mkoa jirani ofisi za TANESCO ziko karibu tu ila mkoa ilipo nyumba ni 70Km kufika ofisini kwao.

Mmenikosesha deal na wachina wa SGR as walihitaji kupanga hapo for 6 months.
 
Back
Top Bottom