Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.

Status
Not open for further replies.
Mungi

Mkuu ondoa shaka huyu jamaa anaangukia katika kundi la pili.


​Kuna mambo mawili nina mashaka nayo kwa huyu jamaa, One he is not serious, and second huyu jamaa inawezekana hayuko sawa!
 
Last edited by a moderator:
Mungi

Mkuu ondoa shaka huyu jamaa anaangukia katika kundi la pili.

- The greatest JF inatumia page 8 na kupitiwa na wananchi karibu 3,000 kumjadili Biig Shoow I mean what a blessing jamani, I mean how can I thank you guys yaani toka hizi topics za Uwanja wa Saba saba na the interviews zianze hapa JF my stocks kwenye media has gone over the roof, yaani sina cha kuwalipa my people, Bro Ngongo thanks a lot maana na wewe umesaidia sana na maneno yako kama haya, capitalism ni kutimia every opportunity especially the negative one and tun it into a gold, and I love it!!

- I mean look the wonders of my blog; after only 40 days in the air it is because of this kind of swaggaz here!!

SALUTE!!

LE MUTUZ!!
 
CCM kuongoza kwa miaka mingine 50 mie napinga!! Kwa sababu zifuatazo...

1. Si kweli kwamba kwa sasa nchi haina strong opposition la hasha, ila CCM wanataka/wanapenda kuamini hivyo. Imani huleta matumaini. So wanajipa matumaini. YES CCM ilipata watu Jangwani swali ni je CHADEMA haikuapa watu?? Then kuhusu hili hili la Jangwani tuangalie nguvu iliyotumika katika kujaza watu hao Jangwani!! Najua yeyote asomae hapa anajua Jibu.

2. CCM wao kwa wao kwa sasa ni vita, tumesha sikia wanaowania urais ni SITA, MEMBE, EDO, MAGUFULI, MWANDOSYA na recently DR. MIGIRO. hawa wana kambi zao ambazo wanapambana ndani kwa ndani so ule umoja ambao ni nguvu haupo CCM. Hii itasababisha either Chama kumeguka au Ile ya Liwalo na Liwe kuwa Bora tukose wote kutokea.

3. CCM inazidi kuongeza maadui kwa sababu ya kuwa ndo inajenga serikali iliyo madarakani, Hutaki yuweke events hapa lakini inakua ngumu kuweka Idea inayotenganisha event. Cause idea ikiwa implemented leads to an event, but I have to respect what u want in this thread, ila naomba niweke kwenye mabano tu (MD's saga, Swiss Bank 300Billions etc) makes us see CCM's as thieves!!!

So CCM kutawala for the next 50 years HAIWEZEKANI narudia tena HAIWEZEKANI no matter how they opt to CHANGE
 
Mkuu nashukuuru ..Kuwa at least in some points uumekubali Kuwa imekubiid ulegeze baadhi ya misimamo Yako ....la sivo kuingia kwenye chama iinakuuwa ngumu...."Nadhani uumeonaaa namna maadili yyalivyooromoka Ndani ya chama.....na njia nzuri ni kuingia na kubadiili mambo........lakini jijengee image wazi...Kuwa you are non nonsense .....na epuka Kuwa praise singer wwa failing regime.....alfajiirii hii ...Angalia Mbele na ccm mpyaa...

- Bro sure nimeona maadili yalivyo magumu kwa vyama vyote nchini vya siasa, kwenye uchaguzi wa Kata I was shocked na the fact kwamba viongozi wengi wa zamani hawataki kutoka na kuachia wengine, at one point in mylife nilikuwa ninawaamini sana Chadema, lakini since returning home nimeishia kuwaamini tu some leaders huko kama 8 tu, otherwise ni chama almost the same tu na CCM, majungu, fitina, rushwa na roho za kimasikini ndio vinzvyotawala minds za wengi huko. Taifa la wanafiki watupu it is sad, humu ndani JF kuna watu nilikuwa ninawaanimini lakini toka nirudi bongo sina hata hamu hata ya kuwaona tena hata kuwasikia, unafiki mtupu!!

- I am still the same a no nonsense man, in all my media interviews have made it very clear of what I believe and what I dont, na again msimamo wangu bado ni ule ule ni kukisaidia chama changu CCM kutawala for the next 50 years!!

Le Biig Shoow!
 
mleta mada naye ni kilaza tu....nani apoteze mda wake kumwangilia huyo mtu,....labda waangaliane wenyew...

mtu mwenye uelewa mkubwa kama mimi siwezi angalia akawawekee waangalie wakina mguu mchemba,simba wa wake wawatu,nyumbu wa serengeti -wassira na william darasa la saba lukuvi not me am out
 
mtu mwenye uelewa mkubwa kama mimi siwezi angalia akawawekee waangalie wakina mguu mchemba,simba wa wake wawatu,nyumbu wa serengeti -wassira na william darasa la saba lukuvi not me am out

- Only if it was making a difference you it does not change anything, unless na wewe ni kiongozi wa level ya Mkoa kama mimi, au? ha! ha! ha! ha!

LE Biig Shoow!!
 
Tatizo la Pasco anapoweka thread yake hapa lazima aweke vizingiti kibao vya namna ya kujadili thread hiyo. Nakushauri Pasco, tuachie wahusika tujadili kwa uhuru bila mikwara yako wala usijidanganye kwamba wewe unauwezo mkubwa wa kuyaona mambo kuliko wengine, la si hivyo usingetuletea hoja za jamaa yako hapa kama vile yeye ni mtume wa kututabilia watanzania nini kitafuata! Naamini kuwa "No phenomena is static on earth, thus changes are always inevitable". Hoja za CCM itatawala miaka 100, CCM itatawala milele............, ni hoja zisizo na mashiko hata kidogo, wala hazina haja ya kupatiwa nafasi ya kuzijadili, kwani historia imeonesha wazi kwamba hakuna utawala unaoweza kudumu milele. Iko wapi Roman Empire, Ziko wapi Sudanic states?
 
Kuelekea 2015 CCM hata ikisimama na jiwe lazima jiwe lishinde!
Marehemu Kolimba alisema "CCM haina Dira" wakampuuza,Mwasisi na Mental wa CCM Mwl Nyerere akasema "CCM si mama yangu" wakasema ameshazeeka,
Sasa hata mwenyekiti wa CCM taifa wa sasa akasema "jamani ili chama kibaki salama lazima tujivue gamba" mpaka leo gamba limekwamia kiunoni! wanatuambia hatukuelewa maana ya kuvua gamba!

CCM kiini cha umasikini na ufisadi uliotopea TANZANIA!
Mkuu Mtazamo, licha ya utajiri lukuki wa maliasili Tanzania tuliojaliwa, lakini Watanzania tumekuwa masikini wa kutupwa miaka nenda, miaka rudi, hivyo umasikini kwa Tanzania ndio asili yetu na tumeuzoea!. Ni kutokana na mazoea ya umasikini huu, hivyo sio kero kwa Mtanzania, hivyo tumekuwa tukiichagua CCM na umasikini wetu na kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kuichagua CCM kwa miaka 50 ijayo!.

Mimi nimekulia familia masikini, kwetu soda ilikuwa mpaka wakija wageni!, na wali ni mpaka siku ya sikuu, kuku ilikuwa ni siku ya krismasi na kipande changu kilikuwa makanyagio, siku nikibahatika niliambulia kipapatio!. Amini usiamini, sikuwahi kuwa na kiu ya soda, wala kutamani paja enzi hizo kwa sababu sikuwahi kuvipata!. "You can never miss something you never had"!. Huu ndio umasikini wa Watanzania, tumezaliwa masikini, tumekulia umasikini na kujifia masikini. Ingekuwa tumesha wahi kuonja utajiri, then ukafuatia umasikini, hapo tungekereka na umasikini wetu na ndipi tungemwadhibu aliyetuletea umasikini huu!, kwa sasa Watanzania tulivyo, sisi ni kina "kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!", kama tumekuwa tunaichagua CCM kwa miaka yote 50 iliyopita pamoja na umasikini huu mkubwa iliyotuletea, kwa nini tusiendelee kuichagua CCM kwa miaka 50 ijayo? huku ikiendelea kutulaza na njaa!.

Hata ufisadi sio issue!, mbona kwa Tanzania ufisadi ni sifa, ukifika masaki yale majumba mazuri, yanaelezwa ndio majumba ya "kifisadi", hata magari mazuri Vogue, Hammer, yale ma benzi makali makali yanaelezwa ndio magari ya "kifisadi", hata CCM kinatamkwa ni Chama Cha Mafisadi!, na tumekuwa tukikichagua hivyo hivyo pamoja na ufisadi wake kwa miaka 50 iliyopita, kwa nini tusiendelee kukichagua kwa miaka 50 ijayo!?.
 
Tatizo la Pasco anapoweka thread yake hapa lazima aweke vizingiti kibao vya namna ya kujadili thread hiyo. Nakushauri Pasco, tuachie wahusika tujadili kwa uhuru bila mikwara yako wala usijidanganye kwamba wewe unauwezo mkubwa wa kuyaona mambo kuliko wengine, la si hivyo usingetuletea hoja za jamaa yako hapa kama vile yeye ni mtume wa kututabilia watanzania nini kitafuata! Naamini kuwa "No phenomena is static on earth, thus changes are always inevitable". Hoja za CCM itatawala miaka 100, CCM itatawala milele............, ni hoja zisizo na mashiko hata kidogo, wala hazina haja ya kupatiwa nafasi ya kuzijadili, kwani historia imeonesha wazi kwamba hakuna utawala unaoweza kudumu milele. Iko wapi Roman Empire, Ziko wapi Sudanic states?
Mkuu Gwalihenzi, lengo la kuweka masharti ya kujadili, ili kuweka directional na to stay in focus, nimeona mtu katoa hoja, badala ya watu kujibu hoja, wanajadili 'watu'!, ma great mind hawajadili watu, hujadili hoja!, ule muongozo umesaidia kuwaweka pembeni "simple mind" wanaojadili watu!.

Bora thread yangu ichangiwe na mtu mmoja tuu mwenye hoja, kuliko watu 10 wa kujaza savers bure!.
 
Mkuu Mtazamo, licha ya utajiri lukuki wa maliasili Tanzania tuliojaliwa, lakini Watanzania tumekuwa masikini wa kutupwa miaka nenda, miaka rudi, hivyo umasikini kwa Tanzania ndio asili yetu na tumeuzoea!. Ni kutokana na mazoea ya umasikini huu, hivyo sio kero kwa Mtanzania, hivyo tumekuwa tukiichagua CCM na umasikini wetu na kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kuichagua CCM kwa miaka 50 ijayo!.

Mimi nimekulia familia masikini, kwetu soda ilikuwa mpaka wakija wageni!, na wali ni mpaka siku ya sikuu, kuku ilikuwa ni siku ya krismasi na kipande changu kilikuwa makanyagio, siku nikibahatika niliambulia kipapatio!. Amini usiamini, sikuwahi kuwa na kiu ya soda, wala kutamani paja enzi hizo kwa sababu sikuwahi kuvipata!. "You can never miss something you never had"!. Huu ndio umasikini wa Watanzania, tumezaliwa masikini, tumekulia umasikini na kujifia masikini. Ingekuwa tumesha wahi kuonja utajiri, then ukafuatia umasikini, hapo tungekereka na umasikini wetu na ndipi tungemwadhibu aliyetuletea umasikini huu!, kwa sasa Watanzania tulivyo, sisi ni kina "kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!", kama tumekuwa tunaichagua CCM kwa miaka yote 50 iliyopita pamoja na umasikini huu mkubwa iliyotuletea, kwa nini tusiendelee kuichagua CCM kwa miaka 50 ijayo? huku ikiendelea kutulaza na njaa!.

Hata ufisadi sio issue!, mbona kwa Tanzania ufisadi ni sifa, ukifika masaki yale majumba mazuri, yanaelezwa ndio majumba ya "kifisadi", hata magari mazuri Vogue, Hammer, yale ma benzi makali makali yanaelezwa ndio magari ya "kifisadi", hata CCM kinatamkwa ni Chama Cha Mafisadi!, na tumekuwa tukikichagua hivyo hivyo pamoja na ufisadi wake kwa miaka 50 iliyopita, kwa nini tusiendelee kukichagua kwa miaka 50 ijayo!?.

Kuna anguko kubwa la uchumi linalozidi kuweka maisha ya Watanzania ktk hali ngumu.Tunakoelekea tutakumbana na ugumu wa maisha usioelezeka! Tutajikuta tunapiga kura za hasira 2015.

Pia joto la mabadiliko limepanda nchi nzima kuliko wakati wowote.Lazima CCM wajiandae kwa hili.
 
Ni hoja za Willium kumbe?
Nina wasiwasi akili na mwili vinatakiwa kua in proportion as per historical discoveries. Willium is in an evolution stage to a modern man, yet the skull have very small contents. This is why all other animals having small brains can not even think of a day to come like Cows, donkeys, goats and the like. I cant stone you, help or educate a radical, I rather stand and see the power of evolution taking its time in your mind.......
 
Kuna anguko kubwa la uchumi linalozidi kuweka maisha ya Watanzania ktk hali ngumu.Tunakoelekea tutakumbana na ugumu wa maisha usioelezeka! Tutajikuta tunapiga kura za hasira 2015.

Pia joto la mabadiliko limepanda nchi nzima kuliko wakati wowote.Lazima CCM wajiandae kwa hili.
Mkuu Mtazamo, Watanzania wengi wanaamini "Mpaji ni Mungu", hivyo zile dhahabu, almasi, Tanzanite, zilizoko ardhini kwetu, sio zetu ndio maana akazificha chini, ili wageni wenye uwezo, ndio waje wazichimbe na kutuachia mashimo yetu!.

Nenda Geita, utashuhudia umasikini wa kutupa, na kunamigodi imesheheni utajiri wa ajabu!, angalia hali za wananchi waliozunguka migodi hiyo na hali za wafanyakazi migodini, unaweza kulia, pamoja na umasikini huo, wameichagua CCM!. Ugumu gani wa maisha will make a diference?!.
 
Mkuu Pasco.
Hii mada (thread) ni nzuri sana, kujadiliwa wakati huu tunapoelekea 2015, kwa sababu kuu za msingi kwamba ccm ni chama ki kongwe, na imefika wakati wananchi wamekichoka/hawakitaki tena, sasa hivi kila mtu anasubiri kuona 2015 nini kitatokea, je ccm kitaanguka kama inavyotabiliwa? Tusubiri tuone...
Lakini Pasco, hii mada inakosa mashiko, pale unapoi-connect au kumuhusisha W. J. Malecela, kwa sababu huyu jamaa amesha-prove failure kwenye mind yake. Ni mtu ambaye anafanya vitu au mambo as if ni teen, hata parameters ambazo amezitoa kama vigezo vya kutawala 50yrs ni hopeless. Anazungumzia ishu ya jangwani, hivi ni nani asiyejua kuwa ccm ilibeba watu kwenye malori kotoka kila kona ya DSM na mikoa ya jirani... Tafakali.
Kuhusu 'hakuna serious opposition party', hii hoja aina uzito, may be hajui nini maana ya 'serious'...
Mimi nilitarajia vigezo vya kutawala hiyo miaka 50 anayoisema vingekuwa labda, maisha ya waTZ ni mazuri, huduma za msingi ziko vizuri au hata mipango endelevu (inayotekelezeka), lakini mambo yako hovyo and opposite then mnatuletea habari za next 50 yrs?
Pasco mada yako ni nzuri sana, pia ingebeba 'ujumbe' stahiki kama ungeondoa hayo mawazo au maoni ya W. J. Malecela...
 
Jana tarehe 9 kilikuwa kiende, lakini kukatokea " Technical problem" hakikwenda!.

Leo tena hakijarushwa!.

sidhani kama kipindi hicho kitakuja rushwa!.

Sorry for a all inconveniences caused!.
Ni kweli program ina technical problem ya ku-stuck stuck
Televisheni ya Taifa.
Miaka 50 ya Uhuru.
Dhambi ya kumfukuza Tido itawatafuna wote mpaka muishe.
 
- I am still the same a no nonsense man, in all my media interviews have made it very clear of what I believe and what I dont, na again msimamo wangu bado ni ule ule ni kukisaidia chama changu CCM kutawala for the next 50 years!!

Le Biig Shoow!
And this is really meaning of Nonsense. Nyerere mwenye chama chake hakuwahi kutamka upuuzi huu, zaidi ya kusema CCM si Baba yake wala si mama yake.

Na kama haitoshi mwaka 1995 wakati anawasili Dodoma kwenye mchakato wa kupata mgombea Urais wa CCM akiwa Air port aliuza jina la John ( Malecela ) Lipo? kama lipo chukuweni kadi yenu mini narejea Butiama. je unayajuwa haya? au ulikuwa umelevywa na New York?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom