EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Mkuu EMT, kiukweli hii issue ya kutumia kikoa cha .tz bado ni subject ya wider discussion between being a matter of choice, optional or compulsory.
Nimeona wenzetu wanatumia mfano Japan ni .jp na South Africa ni .za hivyo sio why not .tz kwa all registered entities, ila tatizo ninaloliona ni the capacity to manage.
Huko Japan na Afrika Kusini compulsory au ni optional kutumia .jp na .za?