Interesting case, mlalamikaji hakuwa na ushahidi wenye msingi mzuri wa kusheria wakati mwenyekiti wa mtaa alikuwa ana ushahidi wenye msingi wa kisheria. Uamuzi wa Mwenyekuti kuibukia kwenye kikao kiaina kumpunguza joto la tuhuma. Interesting!!!
Hii nimeipenda sana....kwa vyovyote kwa umakini huu wa mwenyekiti....atakuwa anetokana na ukawa hatutaki ujinga sisi.....makonda anasema....mkit kaendelee na majukumu nina baraka zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.