Kibunango,
Baba acha kutuvika kamba za shingio mkuu huyu mtu anauliza pengine kama anaweza pata hotel maeneo ya usahilini..
Lini mzungu akajifunza Usafi wa mji kwa kuokota taka kwa mikono mitupu ambayo haina hata gloves?...tena basi hawa wenzetu wana nyenzo za kuokoteza hata vumbi, duh.
Mkuu wangu utanisamehe lakini nadhani propaganda za serikali hii zinatisha na sijawahi ona dunia nzima. Mfano mnalazimisha watu kujiunga na ujenzi wa shule tena huko wilayani kila nyumba ni lazima itoe mtu kisha serikali inatangaza kwa wananchi hao hao walojenga kuwa imeweza kujenga shule kadhaa ktk milaya kadhaa. Hapa unamwambia nani hasa kama mjenzi ni mwananchi mwenyewe?...
Hizi habari za usafi wa mazingira kuhudumiwa na wananchi wenyewe zinatoka wapi haswa? ndio Ujamaa Mambo leo ama, na wakati gani haswa hawa watu wanatakiwa kwenda kazini, huko walikoajiriwa!
Utanisamehe mkuu wangu lugha yangu siku zote huwa nzito nakuomba ipokee kama hoja.
Baba acha kutuvika kamba za shingio mkuu huyu mtu anauliza pengine kama anaweza pata hotel maeneo ya usahilini..
Lini mzungu akajifunza Usafi wa mji kwa kuokota taka kwa mikono mitupu ambayo haina hata gloves?...tena basi hawa wenzetu wana nyenzo za kuokoteza hata vumbi, duh.
Mkuu wangu utanisamehe lakini nadhani propaganda za serikali hii zinatisha na sijawahi ona dunia nzima. Mfano mnalazimisha watu kujiunga na ujenzi wa shule tena huko wilayani kila nyumba ni lazima itoe mtu kisha serikali inatangaza kwa wananchi hao hao walojenga kuwa imeweza kujenga shule kadhaa ktk milaya kadhaa. Hapa unamwambia nani hasa kama mjenzi ni mwananchi mwenyewe?...
Hizi habari za usafi wa mazingira kuhudumiwa na wananchi wenyewe zinatoka wapi haswa? ndio Ujamaa Mambo leo ama, na wakati gani haswa hawa watu wanatakiwa kwenda kazini, huko walikoajiriwa!
Utanisamehe mkuu wangu lugha yangu siku zote huwa nzito nakuomba ipokee kama hoja.