kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Mkuu kwahiyo ulimuwahisha MTU kwa baba muumba?Japo sijui kilichotokea, ila kiukweli Bodaboda ndo wanaoongoza kwa kuvunja sheria hapa mjini, Mi kuna mmoja alikua anataka kuniwahi sijui ili afanyaje wakati tayari m chombo ya diesel imeshapamba moto unaanzaje kushindana nayo? wala sikutaka kumkwepesha alivyojaa Yani Mwanga wa milele ulimwangazia pale pale. Na mwingine pale mataa anabahati tu tena anabahati sana