MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kuitoa CCM ndiyo dawaNini kifanyike kuondoa hii hali ?
Kuitoa CCM ndiyo dawaNini kifanyike kuondoa hii hali ?
Muogope mungu alikusumbua liniHuyu mama bora amekamatwa ni msumbufu sana pale kwenye maswala ya leseni Arusha
Kumbe huwa ni mazingira ya rushwa anatengeneza
Shekhe alikwambia binadamu huwa anatosheka?Huko si ndio wanasema mishahara mizuri au?
Acha husda na roho mbayaHii mijamaa ya TRA kwa rushwa balaaa! Ukienda TRA kijitonyama jengo la Millenia Tower utakuta midada imenenepeana na kuvimbiana utafikiri inataka kupasuka, balaa angalia wakati wa lunch yao duh? Sasa jichanganye ukutwe na kosa!!! Ushahuri wao umekaa kimitego ili wakupige! Bado TRA ni mzigo kwa wananchi! Wanachoiingizia serikali hakilingani na wanachojitajilisha binafsi