Watapokosa fedha za Miradi mbalimbali kwa kunyimwa misaada na mikopo, wataanza kulaumu Wapinzani hata kama Bunge litakuwa lao

Tanzania ni nchi huru broo. Walitunyima fedha za MCC Tukaweka umeme vijiji zaidi ya 9000

Mlinyimwa pesa za MCC kwa sababu ya uhuni mliofanya 2015, sasa mabeberu wengi hawatawapa hela zake tena iwe mikopo au misaada ya kibajeti hata ya kawaida.
 
Kwa jinsi uchaguzi huu ulivyofanyika,kuna kila dalili Wahisani na Mashirika ya Fedha ya Kimataifa yatatutenga ukizingatia tumepuuza wito wa wahisani wa kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kwahiyo, kitachofuata ni serikali hii kuanza kukwama katika utekelezaji wa miradi yake mbalimbali na hivyo wataanza kutafuta mahali pa kuelekeza lawama na hapo ndio wapinzani watapoanza kubebeshwa lawama wakati chanzo ni wao wenyewe kushindwa kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki.

Huko Bungeni hata wakiwa ni wao watupu,wataanza kuwajadili wapinzani ambao watakuwa hawamo kwa kuwalaumu na kuwabebesha lawama ambazo haziwahusu kwa.hoja kwamba ndio wanaosababisha serikali ikose mikopo na misaada na kutaka Watanzania wawaone wapinzani kuwa ndio chanzo cha wao kushindwa ku-deliver.

Narudia,baada ya kuwahujumu wapinzani na Bunge lote wakalitawala wao, bado Mbowe, Lissu, Lema, Sugu, Zitto na wapinzani wengine wataendelea kujadiliwa humo Bungeni na kubebeshwa lawama zisizowahusu wakati serikali itakuwa ni yao na Bunge pia litakuwa ni lao.

Hivi sasa kiu yao ni kutaka kuona wapinzani, hasa CHADEMA na ACT , hawaingii Bungeni lakini hilo likitimia, bado wataendelea kuhangaika tu kwani hata nafsi zao zitakuwa zinawasuta huku matatizo ya wananchi yakibaki pale pale na si ajabu hali ikawa mbaya zaidi.

Wataanza kuwaza 2025 tutawaambia mini wananchi kama Bunge lote lilikuwa lao na serikali pia ilikuwa yao hivyo lazima watengeneza propaganda mradi tu waelekeza lawama kwa wapinzani.

Tukumbuke wamekuwa wakiwalaumu wapinzani kupinga kila kitu Bungeni na kukwamisha maendeleo majimboni, hivyo sasa watakuwa ni kibarua cha kuthibitisha kwa vitendo kuwa wapinzani ambao walikuwa hawakusanyi kodi, ndio kweli walikuwa kikwazo kuanzia Bungeni mpaka kwenye majimbo.

Wameshavuruga uchaguzi na kwahiyo Bunge liktakuwa lao ila mjue tu bado wataendelea kusakama wapinzani ambao si tu hawatakuwapo Bungeni, bali pia watakuwa hawaruhusiwi kufanya hata siasa.

Na baada ya kuwaondoa wapinzani wa kweli Bungeni, msishangae wakarudisha na Bunge live, Bunge litalokuwa na kazi ya kusifu na kutukuza kama ilivyo TBC.

Time will tell.
Yaani wanashangaa kweli watanganyika ndio fujo hili walofanya ndo mnaufyata mnaanza kualalama simameni kidete msikubali kuonewa kirahisi hivi. Iheshimuni damu ya Mkwawa na kinjeketile. Hawakuogopa silaha za mjerumani. Nyie vipi?
 
Slavery mentality, halafu wewe kama mpinzani ulitaka kuongoza nchi? Misaada, your thinking is too low salary slip.
 
Kwa jinsi uchaguzi huu ulivyofanyika,kuna kila dalili Wahisani na Mashirika ya Fedha ya Kimataifa yatatutenga ukizingatia tumepuuza wito wa wahisani wa kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kwahiyo, kitachofuata ni serikali hii kuanza kukwama katika utekelezaji wa miradi yake mbalimbali na hivyo wataanza kutafuta mahali pa kuelekeza lawama na hapo ndio wapinzani watapoanza kubebeshwa lawama wakati chanzo ni wao wenyewe kushindwa kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki.

Huko Bungeni hata wakiwa ni wao watupu,wataanza kuwajadili wapinzani ambao watakuwa hawamo kwa kuwalaumu na kuwabebesha lawama ambazo haziwahusu kwa.hoja kwamba ndio wanaosababisha serikali ikose mikopo na misaada na kutaka Watanzania wawaone wapinzani kuwa ndio chanzo cha wao kushindwa ku-deliver.

Narudia,baada ya kuwahujumu wapinzani na Bunge lote wakalitawala wao, bado Mbowe, Lissu, Lema, Sugu, Zitto na wapinzani wengine wataendelea kujadiliwa humo Bungeni na kubebeshwa lawama zisizowahusu wakati serikali itakuwa ni yao na Bunge pia litakuwa ni lao.

Hivi sasa kiu yao ni kutaka kuona wapinzani, hasa CHADEMA na ACT , hawaingii Bungeni lakini hilo likitimia, bado wataendelea kuhangaika tu kwani hata nafsi zao zitakuwa zinawasuta huku matatizo ya wananchi yakibaki pale pale na si ajabu hali ikawa mbaya zaidi.

Wataanza kuwaza 2025 tutawaambia mini wananchi kama Bunge lote lilikuwa lao na serikali pia ilikuwa yao hivyo lazima watengeneza propaganda mradi tu waelekeza lawama kwa wapinzani.

Tukumbuke wamekuwa wakiwalaumu wapinzani kupinga kila kitu Bungeni na kukwamisha maendeleo majimboni, hivyo sasa watakuwa ni kibarua cha kuthibitisha kwa vitendo kuwa wapinzani ambao walikuwa hawakusanyi kodi, ndio kweli walikuwa kikwazo kuanzia Bungeni mpaka kwenye majimbo.

Wameshavuruga uchaguzi na kwahiyo Bunge liktakuwa lao ila mjue tu bado wataendelea kusakama wapinzani ambao si tu hawatakuwapo Bungeni, bali pia watakuwa hawaruhusiwi kufanya hata siasa.

Na baada ya kuwaondoa wapinzani wa kweli Bungeni, msishangae wakarudisha na Bunge live, Bunge litalokuwa na kazi ya kusifu na kutukuza kama ilivyo TBC.

Time will tell.
Hahaha sisi ni Dona kantry aisee usituchukulie Poa
 
wapinzani hawa ni bure kabisa walikuwa wanakula kodi yetu tu, tunakumbuka walivyosusia vikao kisa wanataka lockdown! nchi ingefungwa hata uchaguzi usingekuwepo leo. Halafu ile tabia ya kubeza na kupinga kila kitu ujanja ujanja mwingi. Sasa ni wakati wa kurekebisha makosa 2025 tunaweza kuwafikiria. Upinzani ni muhimu katika kuongeza uwajibikaji wa serikali ila sio huu tuliokuwa nao bunge lililopita
 
Mmeshaanza mapema na threads za kujifariji!? Tuliwaambia humu mapema nyie mkakomaa "NI YEYE".. Leo mtashindana kuanzisha threads za kutia huruma, barabarani mnaingia saa ngapi?,au mnasubiri tamko la Lissu!?
Hahaaa weweeeeee!!!
Uchaguzi umeisha Tujenge Tanzania mpya.
Tuendelee kuilinda AMANI ya TAIFA letu.
 
Stupidity mindset,
Misaada, Misaada. Kwahiyo wewe bila kusaidiwa huwezi kuendelea?
Kwani wao kabla ya kuendelea, walisaidiwa na nani?
Tutajie kitu kimoja mlichofanya bila msaada!! Nyie wachache ndio uwa mnafanya ngozi nyeusi tuonekane hatuna akili!! Miaka zaidi ya hamsini toka tujitawale tumeshindwa kusambaza maji safi tu nchi nzima!! Miradi yote uko Tanzania ina mikono ya wazungu, kila mtawala anaeingia madarakani anaingia mipango yake!! Maendeleo yatatoka wapi?!! Hao mnao waita mabeberu hamuwezi kufanya chochote bila wao, mkilima mazao ya biashara soko kubwa liko kwao!! Mkichimba madini soko kubwa liko kwao!!
Harafu utasikia ngozi nyeusi wajinga wanajitapa wanaweza kujitawala, wakati hata kutaili tu magovi yao uko vijijini mpaka wazungu watoe fedha, kujenga vyoo tu mpaka wazungu watoe pesa kuamasisha ujenzi wake!! Miaka hamsini ya uhuru bado ngozi nyeusi tunataka tuzae tu!! Serikali isomeshe!! Ngozi nyeusi tunachojua ni kupanga posho za kulipana na kujenga nyumba za wageni ili watu watombane tu.
 
Tujiandae kuzirudisha gharama za uchaguzi .. Ni kodi tu ndiyo itaziba pengo la misaada . saikolojia yetu ijiandae sawasawa
 
Back
Top Bottom