Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,411
- 4,052
Tulieni dawa iwaingie wapuuzi nyie, mnatafuna kodi yetu kwa ruzuku afu mnashindwa kuweka hata Mawakala vituoni mkipewa nchi si mtatuuza nyie, Tanzania itajengwa na waTanzania wenyewe na si hao mabeberu wenu.Wakibaki CCM peke yao,nadhani by 2025 Tanzania itakuwa kama US kimaendeleo maana wapinzani ndio walikuwa kikwazo.