Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,087
- 17,133
Punguzeni makasiriko. Panapo mafanikio kubalini ndiyo uungwana, siyo kupinga kila kitu.Afrika ni bara masikini, hivyo hata kama ingekuwa ni nchi ya kwanza barani Afrika bado ingekuwa masikini tu. Hapa unachojisifia ni sawa na kumsifia mtoto wako kuwa kwenye top ten huko darasani lakini ni top ten ya waliopata division IV.